Mzee Wa Kale Kabisa
JF-Expert Member
- Mar 25, 2018
- 2,602
- 4,266
Shukrani Mkuu... Ni vitu ambavyo wengi tumekuwa wavivu kuvifuatiliaMkuu umetisha, hizi ndo tunaita hoja zenye mashiko. Umeprove beyond Reasonable doubt kwamba unajua unachokiongea.
Shukrani Mkuu... Ni vitu ambavyo wengi tumekuwa wavivu kuvifuatiliaMkuu umetisha, hizi ndo tunaita hoja zenye mashiko. Umeprove beyond Reasonable doubt kwamba unajua unachokiongea.
Kweli kabisaShukrani Mkuu... Ni vitu ambavyo wengi tumekuwa wavivu kuvifuatilia
Emu tuwekee hapa iyo website za kuchagua gari kutoka singapore.Atakuwa anaongelea za Beforward lakini ambazo pia huwa sio nyingi, za Singapore sio za kupeleka gereji.
View attachment 1329821
Unazungumzia hii sio
Dah! Noma kweli mkuuYes ndio hiyo hiyo wanawapiga watu maana hakuna registration ukishalipa kodi. Kitachofuata ni wewe kwenda chapa namba tu kwa 15000 hadi 30000
Sent using Jamii Forums mobile app
Je kama nimeagiza enhance...?Yes, ukilipa kodi haraka unapunguza siku za kukaa. Kama umechagua beforward kama C&F agent documents wanatuma kwa ofisi yao dsm. Wakishakadiria kodi wanakutumia info, unaweka pesa kwenye account yao, wao ndio wanalipa TRA. It is so easy that way
Ndio...gari zote nilizoingiza kutoka huko ilibd nipeleke gerage asee...sasa sijui kama inspection kule huwa wanaifanya ingawa zinakuwaga kali kinomaSingapore?
They have a great outlook kwa nje ila under the hood most of them ni msiba.Hamna inspection kule datz y ila kwa nje mazuri sana
Mm naongelea from my experience, pale automax gari nyingi wanazileta watu frm singapore but most of them zinakuwa na majanga.Singapore hawana inspection faculity, gari zinakuja bila pre-inspection certificate, gari ikija bongo inapelekwa NIT for inspection...hiyo ndio loophole wanayotumia wauzaj wa magar from singapore kutuletea magari mabovu.Atakuwa anaongelea za Beforward lakini ambazo pia huwa sio nyingi, za Singapore sio za kupeleka gereji.
Huwa unazikuta na shida gani kwa uzoefu wakoNdio...gari zote nilizoingiza kutoka huko ilibd nipeleke gerage asee...sasa sijui kama inspection kule huwa wanaifanya ingawa zinakuwaga kali kinoma
Hapo nimekupata MkuuMm naongelea from my experience, pale automax gari nyingi wanazileta watu frm singapore but most of them zinakuwa na majanga.Singapore hawana inspection faculity, gari zinakuja bila pre-inspection certificate, gari ikija bongo inapelekwa NIT for inspection...hiyo ndio loophole wanayotumia wauzaj wa magar from singapore kutuletea magari mabovu.
Poa poa mkuu..ila ukibahatika kupata ambayo haina majanga..unakuwa umewin sana..gari zao kali sana..huwez kuta body limeoza 😂Hapo nimekupata Mkuu
Ndio hapo wanapotupataPoa poa mkuu..ila ukibahatika kupata ambayo haina majanga..unakuwa umewin sana..gari zao kali sana..huwez kuta body limeoza 😂
Wewe ni mmoja wa hao wezi. Kutuma hela ni dollar 59 bank wewe unasema 100 Ndachuwa,
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Root ipo hiviUnahusisha vipi Registration wakati registration nalipa kwenye kodi ya gari?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kati ya siku mbili mkuuPort charges na walfage siku ngapi umekadiria?
Kwa haraka haraka kuna faida ya kama 3M hapo. Boya unapigwa picha kadhaa na kupewa cheti cha mteja wa kampuni imeisha hio!
Hio ndio Bongo, haijaitwa bongo kwa bahati mbaya.