mzee wa ndoto
Member
- Jul 10, 2020
- 75
- 46
Salam kwenu wote WanaJF,
Kama ulibahatika kupata kipande cha ardhi kwa maeneo ya mkoa Pwani hasa wilaya Bagamoyo na Chalinze na huifanyii kazi.
Tegemea kukutana na changamoto hizi kwenda kwenye ofisi za Kiselikali kuomba mtu fulani ama kampuni fulani watoke kwenye eneo lako ili uweze kulifanyia kazi.
Sasa ikisha fika hali hiyo kuna mawili hapo mwenye kisu kikali ndio hula nyama nasema hayo kwa Sababu Hali imekuwa ngumu kwa waliouza aridhi hapo awali pesa zimiisha na washazoea kushika mabunda.
Hivyo kwa sasa wamekuwa hawana woga imefikia hatua baadhi ya watu kuyauza mashamba yao kwa mara nyingine kisha kulichukua jina la aliyeuziwa awali kulipeleka kwa sangoma kupigwa kipapayo.
Wateja wao wakubwa jamii ya kifugaji ambao idadi yao inawazidi wakazi. Malipo yanafanyika popote haina haja ya ofisi kikubwa anaeuza eneo ajue mipaka tu.
Hivyo ndugu yangu popote ulipo kama unakipande chako cha aridhi maeneo hayo niliyotaja fika na ifanyie kazi sehemu yako kuepusha usumbufu usiokuwa wa lazima.
Nawasilisha
#chuma kigonge kingari moto
Kama ulibahatika kupata kipande cha ardhi kwa maeneo ya mkoa Pwani hasa wilaya Bagamoyo na Chalinze na huifanyii kazi.
Tegemea kukutana na changamoto hizi kwenda kwenye ofisi za Kiselikali kuomba mtu fulani ama kampuni fulani watoke kwenye eneo lako ili uweze kulifanyia kazi.
Sasa ikisha fika hali hiyo kuna mawili hapo mwenye kisu kikali ndio hula nyama nasema hayo kwa Sababu Hali imekuwa ngumu kwa waliouza aridhi hapo awali pesa zimiisha na washazoea kushika mabunda.
Hivyo kwa sasa wamekuwa hawana woga imefikia hatua baadhi ya watu kuyauza mashamba yao kwa mara nyingine kisha kulichukua jina la aliyeuziwa awali kulipeleka kwa sangoma kupigwa kipapayo.
Wateja wao wakubwa jamii ya kifugaji ambao idadi yao inawazidi wakazi. Malipo yanafanyika popote haina haja ya ofisi kikubwa anaeuza eneo ajue mipaka tu.
Hivyo ndugu yangu popote ulipo kama unakipande chako cha aridhi maeneo hayo niliyotaja fika na ifanyie kazi sehemu yako kuepusha usumbufu usiokuwa wa lazima.
Nawasilisha
#chuma kigonge kingari moto