Bwana Banzi
JF-Expert Member
- Oct 14, 2014
- 382
- 174
sawa wa ukaeKiruguru, kikwere, kizaramo, kindengereko..chote sawa ila kwa kuwa inasemekana asili ya makabila yote hayo ni waluguru waliosambaa ktk mikoa ya pwani basi upo sawa kabisa mkuu
sawa wa ukaeKiruguru, kikwere, kizaramo, kindengereko..chote sawa ila kwa kuwa inasemekana asili ya makabila yote hayo ni waluguru waliosambaa ktk mikoa ya pwani basi upo sawa kabisa mkuu
Umeskia dogo papo d mwanangu wa damu.nina kumbukumbu zote hizo nae.dah kweli happy days never return.!
!
Mc ndolo mpaka anafariki alikuwa mnyamwezi. Alikuwa mjanja sana yule bwana alikuwa ananyuka pamba ambazo daaaah jamaa alikuwa bishoo bishoo kweli ngoma isingeweza kumwacha. Nilikuwa na Kaka yangu nae alikuwa anashika kipaza kipindi hicho alikuwa anaitwa Papo Dilo au kifupi tu Dilo. Ni Kaka yangu kabisaaa
Umeskia dogo papo d mwanangu wa damu.nina kumbukumbu zote hizo nae.dah kweli happy days never return.
Manzese uswazi na wezi wengi ndo pande zqo hzo. Pia kuna chamwino, mji mpya, mwembe songo, mafisa, kichanganiaiseeeh....mitaa ya misufini jirani zao manzese, mafiga pale shule na watoto wa vibandani, kutumia mjani kule kawaida, niliwahi kuja moro maeneo ya manzese ni uswazi aiseeh, kabali nje nje. kumbe ndiyo maana afande yupo vile
Yani alikuwa bishoo wa nguvu enzi za raba mtoni tulikuwa tunamkoma shule mi nilikuwa Nakaa hapo magorofani we kweli wa Morogoro.
!
!
Ndio kwetu kule aisee akina taima akina Bogota akina okwonkwo akina skwiza sijui wooote hao ni mabroo. Kijiweni ni Ganga au kule juu maliasili au kunduchi
Hahaha huyu okonkwo kama ndio yeye alokuwa anakaa kota za national housing na washkaji zake walituwekea wanted nakumbuka ilikuwa noma amani ilitoweka hostel, waliwazingua washkaji zetu pale kontena mpaka ikabidi tukawaombe amani. Jamaa alikuwa mbabe ana nguvu sana.
pande za CH napapata flesh sana, kuna kwa mahita, kona camp, chamwino makondeko, halafu na kwa kina Salum ditwi kule walikuwa mdundiko na mchiriku kila siku unagongwa...umenikumbusha mbali aiseeh, chamwino kweli kule ukiwa legelege huwezi kuishiManzese uswazi na wezi wengi ndo pande zqo hzo. Pia kuna chamwino, mji mpya, mwembe songo, mafisa, kichangani
Bwana Banzi naona wewe mluguru pure. Mimi maisha yote nipo Moro chamwino nmeenda mara moja tu yanipande za CH napapata flesh sana, kuna kwa mahita, kona camp, chamwino makondeko, halafu na kwa kina Salum ditwi kule walikuwa mdundiko na mchiriku kila siku unagongwa...umenikumbusha mbali aiseeh, chamwino kweli kule ukiwa legelege huwezi kuishi
ni kweli mluguru mi ni mluguru pure Mrs Ivan, jumlisha na uzaramo wa dutumi kibaha vijijini, mimi miaka ya 90's nimekaa sana moro chamwino,kwa mangi dolee tulikuwa tunacheki video pale,,,,,Bwana Banzi naona wewe mluguru pure. Mimi maisha yote nipo Moro chamwino nmeenda mara moja tu yani
Ahahaaaa mkuuu mluguru + mzaramo= sipati picha mtu akikuchokozani kweli mluguru mi ni mluguru pure Mrs Ivan, jumlisha na uzaramo wa dutumi kibaha vijijini, mimi miaka ya 90's nimekaa sana moro chamwino,kwa mangi dolee tulikuwa tunacheki video pale,,,,,
ahaa haaaa....usiogope mkuu, kawaida mbona, mimi mpole sana..ukinichokoza nakuachaAhahaaaa mkuuu mluguru + mzaramo= sipati picha mtu akikuchokoza
We inaelekea unawajua kinoma,,ila nammiss NASH G mzee wa mambo bado ,mambo bado,Sallam kwa sasa ni meneja wa WCB.
Peter Moe ni DJ wa clouds fm.
Puzzo Makassy alikuwa Sweden .
Swedi kafulia.
Boy G kafa kwa gongo za kichangani.
Nash G anaangaika tu na dunia.
Squeezer kafulia.
Crazy P kwa sasa O Ten anauza chips mjini hapa.
John Dilinga anafanya biashara pia anapiga mziki kempisky kila weekend.
Wengine sikumbuki ila kiboko yao wote alikuwa Mc Ndolo marehemu aliyekufa kwa ngoma. Mnyawezi mipaka hivyo.
Ahahaaaa sidhaniahaa haaaa....usiogope mkuu, kawaida mbona, mimi mpole sana..ukinichokoza nakuacha
Moi wewe mtoto wa mwembesongo.Boy G ameshafariki.. Rest in peace mzee wa safari
ohooo....kalagabaho kama hutaki, mi nasamehe Mrs VanAhahaaaa sidhani
ulivyopataja hapa, nimemkumbuka dogo jaki simela wa jagwa music a.k.a dege la jeshi....Moi wewe mtoto wa mwembesongo.