NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,176
- 12,647
Kuna kipindi Nondo Mamunyeto alipitia wakati mgumu (changamoto binafsi) zilizo mfanya kiwango kishuke.
Waliibuka wachambuzi (wa mchongo) wakishinikizwa na ushabiki maandazi wakaanza kumuita/kumfananisha na beki wa Man U (MAGURE) kutokana na makosa aliyokuwa akiyafanya.
Sasa hivi Bakari Nondo Mamunyeto ana kiwango Bora sana na wachambuzi wa Mchongo wamefumba Macho wanasubiri akosee.
NALIA NGWENA nachukua nafasi hii kumpa maua ya kutosha the captain Bakari Nondo Mamunyeto
Hakika ni beki wa mpira haswaa.
Waliibuka wachambuzi (wa mchongo) wakishinikizwa na ushabiki maandazi wakaanza kumuita/kumfananisha na beki wa Man U (MAGURE) kutokana na makosa aliyokuwa akiyafanya.
Sasa hivi Bakari Nondo Mamunyeto ana kiwango Bora sana na wachambuzi wa Mchongo wamefumba Macho wanasubiri akosee.
NALIA NGWENA nachukua nafasi hii kumpa maua ya kutosha the captain Bakari Nondo Mamunyeto
Hakika ni beki wa mpira haswaa.