Mlioko Tanzania tutupieni jamvini picha za sayari ya Jupiter na Saturn

1. Sio wewe tu kunya, kila kiumbe amemuumbia hivyo, hasa sisi tunaoishi ulimwengu unaoonekana(Duniani). Kuanzia binadamu, wanyama, ndege na samaki woote tunakunya haja kubwa na ndogo. Huu ni mfumo alituumbia ili kutoa taka mwili. Chakula unachokula kikishameng'enywa kinachujwa kisichotakiwa mwilini kinatoka kama taka mwili. Kwa wanyama inasaidia kupatikana mbolea.

2. Baada ya Mungu kuiumba dunia na kutuumba binadamu, sisi viumbe binadamu kwa lifestyles n.k tukaiharibu dunia kwa namna tofauti na maradhi kutokea. Lakini Mungu akatufunulia binadamu akili ya kuunda madawa(Hospitalised Medicines) ambayo madawa haya hutokana na mimea ambayo aliyoiumba, pia kupitia mimea na matunda ni tiba kubwa ambayo ametuumbia. So kutufunulia uwezo wa kutengeneza madawa ni njia ya kutuwezesha sisi kutibu maradhi mbalimbali.

3. Hili limekaa kiimani zaidi na mimi sitaki kuingia kwenye mada hiyo. Hilo ni somo jingine. Lakini kwa faida yako hapo mwanzo Mungu alivyoumba dunia na viumbe wote, alituumba kwa kusudi zuri na hakukuwa na contents kama unazosema. Lakini uharibifu uliofanywa na kiumbe kisichoonekana(malaika aliehasi) kwa kuharibu utaratibu alioukusudia Mungu kwa kiumbe binadamu(Binadamu ambae aliumbwa ili kutawala vitu vyote alivyoviumba Mungu duniani) ndio chanzo cha uharibifu wote hapa duniani. So ni huruma ya Mungu bado anatuvumilia.

4. Mungu yupo na anavumilia uovu wote unaofanywa duniani na kiumbe binadamu aliyeharibiwa na kiumbe kisichoonekana(malaika aliehasi), LINI NA SAA NGAPI ATAKOMESHA UOVU WOTE ANAJUA YEYE PEKEE MUNGU ALIETUUMBA. Kuvumilia kwake kusikupotoshe hata kidogo kwamba hayupo na haoni.
Hujajibu kwa nini Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea.
 
Hujajibu kwa nini Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mabaya yanaweza kutokea.
Nimeshakujibu maswali yako mengi ambayo yanajirudia rudia, hata swali hili nilishakujibu hapo kwenye post #181 kipengele namba 2 na 3 (vipengele hivyo vimekujibu kwanini mabaya yameweza kutokea).
 
Nimeshakujibu maswali yako mengi ambayo yanajirudia rudia, hata swali hili nilishakujibu hapo kwenye post #181 kipengele namba 2 na 3 (vipengele hivyo vimekujibu kwanini mabaya yameweza kutokea).
Mimi nakuuliza swali.

Kabla ya Mungu kuiumba dunia, alikuwa na uwezo wa kuiumba vyovyote.

Alikuwa na uwezo wa kuiumba dunia ambayo mabaya hayawezekani kuwepo.

Kwa nini hakuiumba dunia ambayo mabaya hayawezi kutokea kabisa?

Unanijibu kwa kuandika baada ya Mungu kuiumba dunia, wanadamu waliiharibu dunia na uharibifu huo umesababisha mabaya.

Wewe umeelewa swali langu kweli?

Mimi nakuuliza, kwa nini Mungu hakuumba ulimwengu ambao watu hawawezi kuiharibu dunia?

Wewe unanijibu, baada ya Mungu kuiumba dunia, watu waliiharibu dunia.

Hapo umejibu swali? Umeelewa swali?
 
Mimi nakuuliza swali.

Kabla ya Mungu kuiumba dunia, alikuwa na uwezo wa kuiumba vyovyote.

Alikuwa na uwezo wa kuiumba dunia ambayo mabaya hayawezekani kuwepo.

Kwa nini hakuiumba dunia ambayo mabaya hayawezi kutokea kabisa?

Unanijibu kwa kuandika baada ya Mungu kuiumba dunia, wanadamu waliiharibu dunia na uharibifu huo umesababisha mabaya.

Wewe umeelewa swali langu kweli?

Mimi nakuuliza, kwa nini Mungu hakuumba ulimwengu ambao watu hawawezi kuiharibu dunia?

Wewe unanijibu, baada ya Mungu kuiumba dunia, watu waliiharibu dunia.

Hapo umejibu swali? Umeelewa swali?
Kwanza nikuulize swali Mkuu, hivyo vipengele (2&3) nilivyokuambia umevielewa?
 
Sio tu hujathibitisha Mungu yupo, hujui kuthibitisha ni nini na unaji contradict.

Uwepo wangu hauthibitishi Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote yupo.

Uwepo wangu unathibitisha Mungu huyo hayupo.

Kwa sababu.

1. Mimi nakunya. Waste products ni characteristic ya imperfect system. Mungu huyo muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote kwa nini katengeneza watu imperfect wanakunya badala ya watu perfect wasiokunya wala ku waste energy?

2.Mimi naumwa, same thing, Mungu alishindwa kuumba ulimwengu ambao hauna magonjwa? Kama lishindwa, ni kweli ana uwezo wote? Kama hakushindwa, ni kweli ana upendo wote?

3. Kwa nini Mungu mwenye ujuzi wote, uwezo wote na upendo wote kaumba ulimwengu ambao mambo kama umasikini, vita majanga ya asili,ujambazi etc yanawezekana? Alishindwa kuumba ulimwengu ambao mambo haya hayawezekani? Kama alishindwa, ana uwezo wote kweli? Kama hakushindwa ila kaamua tu kutuumbia ulimwengu wenye mabaya yote haya, wakati alikuwa na uwezo wa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekani, je, ni kweli ana upendo wote?

4. Mungu ana uwezo wa kutengeneza jiwe kubwa na zito sana kiasi hata yeye mwenyewe hawezi kulibeba?
Kama anaweza kuumba hilo jiwe, basi hana uwezo wote kwa kuwa hawezi kulibeba hilo jiwe.
Kama hawezi kuumba hilo jiwe, basi hana uwezo wote kwa kuwa hawezi kuumba hilo jiwe.

Mungu wako yupo kweli au ni hadithi tu?

Thibitisha yupo kweli.
Kwanini Mungu hayupo? Thibitisha.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Kwanini Mungu hayupo? Thibitisha.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na ujuzi wote, hayupo. Ni hadithi ya kutungwa na watu tu.

Angekuwepo, asingeumba ulimwengu ambao mabaya, njaa, matetemeko, ma tsunami, magonjwa, yanaweza kuwepo.

Kuwepo kwa hayo mambo, kunaoneshq Mungu huyo hayupo, habari zake ni hadithi tu za kutungwa na watu.

Wewe ushaona wapi Baba mwenye alili nzuri, upendo mzuri na uwezo mzuri anajenga nyumba nankuwategeshea mabomu wanawe, wakiishi katika hiyo nyumba mabomu yawalipukie?
 
Nathibitisha kwamba Mungu yupo, kwa ushahidi wa kuumba ulimwengi usioonekana kwa macho (malaika n.k) na ulimwengu huu unaoonekana kwa macho(ambao viumbe vyoye tunaishi yaan binadamu wanyama, Mimea ardhini, ndege na viumbe vya baharini. Pia vitu alivyoviumba kwenye anga kama nyota, jua, sayari na vimbondo mbalimbali)
Hapo hujathibitisha kwamba Mungu yupo.

Umeandika tu kwamba umethibitisha Mungu yupo kwa ushahidi kwamba kaumba ulimwengu.

Hujathibitisha hata kwamba Mungu kaumba ulimwengu.

Ni sawa na mimi niseme kwamba nathibitisha mimi ni Mungu kwa ushahidi kwamba nimemumba ulimwengu.

Huo si uthibitisho, hayo ni mahubiri tu.
 
Back
Top Bottom