Masamila
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 6,411
- 7,306
Batch iliyopanda cheo na kwenda cheo cha Brigedia jenerali mwaka 2012 akiwemo Luteni jenerali Paul Masao ndio Batch hiyo hiyo alikuwepo pia Jairos Mwaseba
Sasa samahani naomba kujuzwa imekuwaje naliona jina tena la Jairos Mwaseba kuwa kapandishwa na kuwa Brigedia Jenerali mwezi Aprili mwaka huu na mabrigedia wapya akina Sibuti ilihali alishapata kupandishwa cheo cha Ubrigedia Batch moja na Luteni Jenerali Paul Masao
Je Mwaseba alishushwa cheo hapo kabla? Na je kwa wanaojua ni sababu zipi akashushwa cheo ?
Waliokuwa Batch moja mwaka huo wa 2012 pamoja nae wamepanda hadi kufikia kuwa maluteni jenerali
Sasa samahani naomba kujuzwa imekuwaje naliona jina tena la Jairos Mwaseba kuwa kapandishwa na kuwa Brigedia Jenerali mwezi Aprili mwaka huu na mabrigedia wapya akina Sibuti ilihali alishapata kupandishwa cheo cha Ubrigedia Batch moja na Luteni Jenerali Paul Masao
Je Mwaseba alishushwa cheo hapo kabla? Na je kwa wanaojua ni sababu zipi akashushwa cheo ?
Waliokuwa Batch moja mwaka huo wa 2012 pamoja nae wamepanda hadi kufikia kuwa maluteni jenerali