Mlioijaribu Bia ya Arusha almaarufu "Banana", hebu tupeni feedback

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Aug 4, 2014
1,637
457
Nimekuwa nikikatiza maeneo na kukuta hii Bia ingawa binafsi sijawahi ijaribu...ila natamani nione what a local beer has to offer, especially from Arusha!

Mliowahi jaribu hii kitu, je ipo level za kina Serengeti na Kilimanjaro? Wengine walikuwa wanasema ati mataputapu, msemo huu una maana gani?
 
Last edited by a moderator:
Manina hiyo kitu sitak kusikia nilikunywa tatu mwaka2005 nikalewa chaka nikaanguka saa yangu ya mkononi ya dola 170 ikapasuka. Sitaisahau milele aisee.

Duc in Altum
 
Nimekuwa nikikatiza maeneo na kukuta hii Bia ingawa binafsi sijawahi ijaribu...ila natamani nione what a local beer has to offer, especially from Arusha! mliowahi jaribu hii kitu, je ipo level za kina serengeti na kilimanjaro? wengine walikuwa wanasema ati mataputapu, msemo huu una maana gani?
Mwanzo sikuelewa vizur mi naongelea banana yenyewe sio bia ya banana enzi zile ilikuwa inafunguliwa kwa nusu saa.

Duc in Altum
 
nilikua atown once nikaijaribu na ugoro ile nimefika ya nne namalizia fundo la mwisho lika pitiliza na ugoro vikaingia vyote tumboni nika jitusu kuwasha sport nika piga pafu la kwanza na la pili kilichotokea hata kusimulia ni mtihani mpaka leo sinywi wala kuvuta , ila ipo kama wine ilio chacha na ukakasi wa kutosha inshort ni mataputapu sema kujaribu sio mbaya
 
Mwanzo sikuelewa vizur mi naongelea banana yenyewe sio bia ya banana enzi zile ilikuwa inafunguliwa kwa nusu saa.

Duc in Altum
Mkuu umenikumbusha miaka ya 2006 hadi 2009 nilikuwa nainywa sana hii banana. kama ulivyosema, kuifungua ni nusu saa, ukikurupuka inamwagika yote unaambulia machicha
 
Last edited:
Jaribu tu mkuu utajutia maamuzi yako, tena zipo aina kama tatu hivi kama sijakosea kuna kibo, raha na kiboko embu anza na hio kibo kwanza afu uje ulete mrejesho hapa.kila kheri
 
Mkuu umenikumbusha miaka ya 2006 hadi 2009 nilikuwa nainya sana hii banana. kama ulivyosema, kuifungua ni nusu saa, ukikurupuka inamwagika yote unaambulia machicha

Mkuu na wewe michosho, sawa ulikunywa banana yenyewe na sio Bia ya banana, lakini kwanini unywe banana ili hali umevaa Saa ya Dollar 170? ulifkaje maeneo hayo?????
 
nilikua atown once nikaijaribu na ugoro ile nimefika ya nne namalizia fundo la mwisho lika pitiliza na ugoro vikaingia vyote tumboni nika jitusu kuwasha sport nika piga pafu la kwanza na la pili kilichotokea hata kusimulia ni mtihani mpaka leo sinywi wala kuvuta , ila ipo kama wine ilio chacha na ukakasi wa kutosha inshort ni mataputapu sema kujaribu sio mbaya

sasa mkuu, kwani ukinywa au ukila vinaingia wapi!...SI TUMBONI AU?
 
Ukianza kunywa hiyo kitu unipe contact za vimada wako wote nikusaidie kazi
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom