Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,800
Hivi unajisikiaje kuendesha gari ya bei mbaya au kuishi kwenye jumba la kifahari ( Mansion) ulilojenga kwa wizi wa kodi ya mama muuza maandazi! au mama muuza nyanya na mboga mboga pale soko mjinga! Kinachoumiza zaidi ni kwamba baadhi ya waliohusika na wizi huu wa mapesa haya bado Wapo tena wengine wakiendelea na vyeo mbali mbali serikalini na huku wakilipwa mishahara minono kutokana na kodi zetu .
Mi nawambia roho za watanzania zinanung'unika juu ya pesa zao na mtalaaniwa pamoja na vizazi vyenu vyotee!!.Mkitaka mpone laana hiyo rudisheni fedha za Watanzania! Mnaozani pesa ndo kila kitu jiulizeni ni matajiri wangapi tumewapoteza hivi karibuni, huku wakiwa wameacha maradio,maTV house, na biashara nyingine kubwa?
Tunajua mmeweza kukwepa hukumu kwasababu ya mapesa yenu lakini kamwe hamtoweza kukwepa hukumu ya Mungu. Rudisheni hiyo fedha haraka mkatubu ili msamehewa na Mungu pamoja na WTZ. Pesa ya wizi ni laaana. Fanyeni maamuzi kabla Mungu hajachukua uhai aliowaazima kwa mda tu.
Mungu mbariki Rais wangu Magufuli,azidi kufanya mambo mema kwa ajili ya taifa hili zuri na teule TZ.
Mi nawambia roho za watanzania zinanung'unika juu ya pesa zao na mtalaaniwa pamoja na vizazi vyenu vyotee!!.Mkitaka mpone laana hiyo rudisheni fedha za Watanzania! Mnaozani pesa ndo kila kitu jiulizeni ni matajiri wangapi tumewapoteza hivi karibuni, huku wakiwa wameacha maradio,maTV house, na biashara nyingine kubwa?
Tunajua mmeweza kukwepa hukumu kwasababu ya mapesa yenu lakini kamwe hamtoweza kukwepa hukumu ya Mungu. Rudisheni hiyo fedha haraka mkatubu ili msamehewa na Mungu pamoja na WTZ. Pesa ya wizi ni laaana. Fanyeni maamuzi kabla Mungu hajachukua uhai aliowaazima kwa mda tu.
Mungu mbariki Rais wangu Magufuli,azidi kufanya mambo mema kwa ajili ya taifa hili zuri na teule TZ.