Mliochukizwa na rais kutangaza hadharani aliowasamehe; Majibu yenu haya hapa mfikishieni na askofu jimbo la Kaskazini

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,279
21,396
Baada ya Rais kutangaza rasmi kwamba, Ilipothibitika kuwa zile sauti zilizovuja zikimkashifu zilikuwa halisi,

Miongoni mwa hao walioshiliki kumtukana wakaamua kumfuata rais kuomba msamaha, aliwasamehe watu hao ambao ni January makamba na ngereja:

Kuna watu hawajajua mpaka sasa umhimu Wa rais kuwataja watu hao hadharani kuwa kawasamehe!

Utaratibu Wa kusamehe makosa kama hayo waliyotenda kina ngereja na wenzake wote, yanajumuisha mhimili mzima Wa rais pamoja na walinzi wake,

Utaratibu Wa kusamehe makosa personal ni tofauti sana na hili la rais;

Yamkini rais angewasamehe kimya kimya kama watu wanavyosema, Lakini hawajui kwamba system ya ulinzi iko kazini, kwahiyo isingekuwa rahisi walinzi wote Wa rais kujua kuwa flani na flan wameondolewa kwenye target!

Hakukuwa na njia nyingine tofauti ya kuwaondoa kwenye target kama rais asingewataja,

Vinginevyo wao wangetakiwa kujirekodi sauti zao kukiri kosa na kutaja wazi wamemuona rais na kumuuomba msamaha na sauti zile wazisambaze hadi zifikekitengo cha usalama Wa rais.

Kuepuka hayo yote, rais kawaondolea mzigo huo na kuwasamehe kwelikweli ili hata waliochini yake wawaondoe kwenye target!

Yamkini system ingeamua hata kuwaminya katika chaguzi zijazo, lakini kwa msamaha Wa rais watendaji wamesikia!

Mwambieni askofu Wenu wa kaskazini majibu hayo;
Kwamba kuna mambo binafsi tunayopaswa kusamehe kimya kimya kama wanadam, lakini yapo mambo yanayoendeshwa kisystem!

Ukimtukana Mchungaji hadharani, hata ukamuomba msamaha kimya kimya, Waumini wake wataendelea kukuandama hadi hapo mchungaji huyo atakapokutaja hadharani kuwa kakusamehe.

ALICHOKIFANYA RAIS NI ZAIDI YA KUSAMEHE;

wamesamehewa lakini hawataaminika

Updates

Nape Nauye nae leo kajisalimisha! Mapambano yansendelea; Waliobaki watumie mwezi huu kutafakali (grace period)
 
Baada ya Rais kutangaza rasmi kwamba, Ilipothibitika kuwa zile sauti zilizovuja zikimkashifu zilikuwa halisi,

Miongoni mwa hao walioshiliki kumtukana wakaamua kumfuata rais kuomba msamaha, aliwasamehe watu hao ambao ni January makamba na ngereja:

Kuna watu hawajajua mpaka sasa umhimu Wa rais kuwataja watu hao hadharani kuwa kawasamehe!

Utaratibu Wa kusamehe makosa kama hayo waliyotenda kina ngereja na wenzake wote, yanajumuisha mhimili mzima Wa rais pamoja na walinzi wake,

Utaratibu Wa kusamehe makosa personal ni tofauti sana na hili la rais;

Yamkini rais angewasamehe kimya kimya kama watu wanavyosema, Lakini hawajui kwamba system ya ulinzi iko kazini, kwahiyo isingekuwa rahisi walinzi wote Wa rais kujua kuwa flani na flan wameondolewa kwenye target!

Hakukuwa na njia nyingine tofauti ya kuwaondoa kwenye target kama rais asingewataja,

Vinginevyo wao wangetakiwa kujirekodi sauti zao kukiri kosa na kutaja wazi wamemuona rais na kumuuomba msamaha na sauti zile wazisambaze hadi zifikekitengo cha usalama Wa rais.

Kuepuka hayo yote, rais kawaondolea mzigo huo na kuwasamehe kwelikweli ili hata waliochini yake wawaondoe kwenye target!

Yamkini system ingeamua hata kuwaminya katika chaguzi zijazo, lakini kwa msamaha Wa rais watendaji wamesikia!

Mwambieni askofu Wenu wa kaskazini majibu hayo;
Kwamba kuna mambo binafsi tunayopaswa kusamehe kimya kimya kama wanadam, lakini yapo mambo yanayoendeshwa kisystem!

Ukimtukana Mchungaji hadharani, hata ukamuomba msamaha kimya kimya, Waumini wake wataendelea kukuandama hadi hapo mchungaji huyo atakapokutaja hadharani kuwa kakusamehe.

ALICHOKIFANYA RAIS NI ZAIDI YA KUSAMEHE;

wamesamehewa lakini hawataaminika
Ushamba wa madaraka unawasumbua
 
kwa kweli na wasiaminike tena kwanza hata huo msahama utakuwa ni wa kinafki tu for the sake ya matumbo yao hawana lolote.
 
Baada ya Rais kutangaza rasmi kwamba, Ilipothibitika kuwa zile sauti zilizovuja zikimkashifu zilikuwa halisi,

Miongoni mwa hao walioshiliki kumtukana wakaamua kumfuata rais kuomba msamaha, aliwasamehe watu hao ambao ni January makamba na ngereja:

Kuna watu hawajajua mpaka sasa umhimu Wa rais kuwataja watu hao hadharani kuwa kawasamehe!

Utaratibu Wa kusamehe makosa kama hayo waliyotenda kina ngereja na wenzake wote, yanajumuisha mhimili mzima Wa rais pamoja na walinzi wake,

Utaratibu Wa kusamehe makosa personal ni tofauti sana na hili la rais;

Yamkini rais angewasamehe kimya kimya kama watu wanavyosema, Lakini hawajui kwamba system ya ulinzi iko kazini, kwahiyo isingekuwa rahisi walinzi wote Wa rais kujua kuwa flani na flan wameondolewa kwenye target!

Hakukuwa na njia nyingine tofauti ya kuwaondoa kwenye target kama rais asingewataja,

Vinginevyo wao wangetakiwa kujirekodi sauti zao kukiri kosa na kutaja wazi wamemuona rais na kumuuomba msamaha na sauti zile wazisambaze hadi zifikekitengo cha usalama Wa rais.

Kuepuka hayo yote, rais kawaondolea mzigo huo na kuwasamehe kwelikweli ili hata waliochini yake wawaondoe kwenye target!

Yamkini system ingeamua hata kuwaminya katika chaguzi zijazo, lakini kwa msamaha Wa rais watendaji wamesikia!

Mwambieni askofu Wenu wa kaskazini majibu hayo;
Kwamba kuna mambo binafsi tunayopaswa kusamehe kimya kimya kama wanadam, lakini yapo mambo yanayoendeshwa kisystem!

Ukimtukana Mchungaji hadharani, hata ukamuomba msamaha kimya kimya, Waumini wake wataendelea kukuandama hadi hapo mchungaji huyo atakapokutaja hadharani kuwa kakusamehe.

ALICHOKIFANYA RAIS NI ZAIDI YA KUSAMEHE;

wamesamehewa lakini hawataaminika
pumbavu huna lolote
 
Kwa hiyo usipokuwa upande wa rais wa ni target ya watu wa usalama. Kwa hiyo kazi ya usalama ni kujenga kukuza uhasama baina ya rais na wale wasiomsujudia? Hiyo ndio kazi ya usalama wa taifa?
hujui hata ulichouliza; elewa mada inasemaje usitengeneze mada yako?

waliomkashifu rais wamemuomba msamaha! lakini tambua rais ana mikono milefu lazima ijue pia flan na flan kaomba msamaha
 
Soma Uzi utaelewa usiwe kama Hayawani

Hivi unafikiria nini mkuu? Kiusalama, hakuna hata mmoja anayechukuliwa kuwa mwema kwa Rais akiwemo Rais mwenyewe.

Kila mtu ni target (kwa maana uliyotumia) linapokuja swala la usalama. Na hii inatokana na asili ya binadamu - kutojua kitu anachopanga mwenzio kama kitu hicho hajakitamka au kukiandika!! Ndio maana walinzi wanakuwa na tabia zinazoonekana kama za kuzuia watu kuwa karibu nk!

Jihadhari na kuzungumzia mambo usiyoyafahamu vizuri. Unapotosha.
 
Kwa hiyo mpaka hao jamaa wanafika kwa rais kuomba msamaha hiyo system haijui, mpaka rais atangaze hazarani ndio wanajua kuwa waliomba msamaha, anyway nakubaliana na wewe maana hata agizo na kuuwawa kwa lisu alilitoa hazarani na utekelezajj wake ukafanyika mchana kweupe na kwa uwazi kabisa mpaka cctv camera as waziri zinarekodi tukio zima.
 
Kwa hiyo usipokuwa upande wa rais wa ni target ya watu wa usalama. Kwa hiyo kazi ya usalama ni kujenga kukuza uhasama baina ya rais na wale wasiomsujudia? Hiyo ndio kazi ya usalama wa taifa?
Kwa Mfumo huu ni dhahiri Watatumaliza kwa Kututwanga Risasi Wote ambao hatujawahi Kumuelewa Jiwe na Kumkosoa!
 
Kwa hiyo usipokuwa upande wa rais wa ni target ya watu wa usalama. Kwa hiyo kazi ya usalama ni kujenga kukuza uhasama baina ya rais na wale wasiomsujudia? Hiyo ndio kazi ya usalama wa taifa?

Jamaa ni kilaza usiumize kichwa
 
Usalama wa taifa wa nchii ni wapumbavu saana hawajui kudeal n vitu vinavyokuwa n positive impact in economics.

Tahadhari sio wote lakini asilimia kubwa ukichanganya n yule chief wa mkoa flani
 
Usalama wa taifa wa nchii ni wapumbavu saana hawajui kudeal n vitu vinavyokuwa n positive impact in economics.

Tahadhari sio wote lakini asilimia kubwa ukichanganya n yule chief wa mkoa flani
Rais kusalitiwa unaita ni upuuzi? hivi unaewa wangeachwa wangetengeneza nini?
 
Kwa hiyo usipokuwa upande wa rais wa ni target ya watu wa usalama. Kwa hiyo kazi ya usalama ni kujenga kukuza uhasama baina ya rais na wale wasiomsujudia? Hiyo ndio kazi ya usalama wa taifa?
Kwa maana nyingine wana tudhihirishia kwamba Lissu alikuwa “target “.
 
Baada ya Rais kutangaza rasmi kwamba, Ilipothibitika kuwa zile sauti zilizovuja zikimkashifu zilikuwa halisi,

Miongoni mwa hao walioshiliki kumtukana wakaamua kumfuata rais kuomba msamaha, aliwasamehe watu hao ambao ni January makamba na ngereja:

Kuna watu hawajajua mpaka sasa umhimu Wa rais kuwataja watu hao hadharani kuwa kawasamehe!

Utaratibu Wa kusamehe makosa kama hayo waliyotenda kina ngereja na wenzake wote, yanajumuisha mhimili mzima Wa rais pamoja na walinzi wake,

Utaratibu Wa kusamehe makosa personal ni tofauti sana na hili la rais;

Yamkini rais angewasamehe kimya kimya kama watu wanavyosema, Lakini hawajui kwamba system ya ulinzi iko kazini, kwahiyo isingekuwa rahisi walinzi wote Wa rais kujua kuwa flani na flan wameondolewa kwenye target!

Hakukuwa na njia nyingine tofauti ya kuwaondoa kwenye target kama rais asingewataja,

Vinginevyo wao wangetakiwa kujirekodi sauti zao kukiri kosa na kutaja wazi wamemuona rais na kumuuomba msamaha na sauti zile wazisambaze hadi zifikekitengo cha usalama Wa rais.

Kuepuka hayo yote, rais kawaondolea mzigo huo na kuwasamehe kwelikweli ili hata waliochini yake wawaondoe kwenye target!

Yamkini system ingeamua hata kuwaminya katika chaguzi zijazo, lakini kwa msamaha Wa rais watendaji wamesikia!

Mwambieni askofu Wenu wa kaskazini majibu hayo;
Kwamba kuna mambo binafsi tunayopaswa kusamehe kimya kimya kama wanadam, lakini yapo mambo yanayoendeshwa kisystem!

Ukimtukana Mchungaji hadharani, hata ukamuomba msamaha kimya kimya, Waumini wake wataendelea kukuandama hadi hapo mchungaji huyo atakapokutaja hadharani kuwa kakusamehe.

ALICHOKIFANYA RAIS NI ZAIDI YA KUSAMEHE;

wamesamehewa lakini hawataaminika
Tusaidie kutuwekea matuidi waliyomtukana wengine hatukuyasikia kwenye ile clip
 
Back
Top Bottom