Mliobobea katika 'Saikolojia' na 'Maono' kwa 'Msisitizo' wa 'Kauli' ya Rais Dkt. Magufuli mnamwambiaje 'Prime' Majaliwa?

"Huna hakikisho la kuwa hapo kwa miaka mitano"

"Acha kudhani kuwa ni mwenye bahati kuliko wengine"

"Hata Mkeo nae ajiandae Kisaikolojia kama usipodumu hapo"

"Nilipokuwa naapishwa alinitumia Meseji ya Pongezi na wala sikumjibu ili asije kudhani kuwa bado atakuwa Waziri Mkuu"

"Umesema Mkeo anakupa Raha ila kwa sasa sidhani hata kama hiyo Raha utaipata tena"

"Na wala Watu wako wa Lindi huko waache Kujisifu kuwa Wewe umerejea tena na utadumu katika Cheo hiki"

"Kudumu Kwako kama Waziri Mkuu kutatokana tu na Ufanyaji Kazi wako ila usijiaminishe kuwa utadumu kama Sumaye"

Binafsi kuna nilichokigundua kwa haraka sana hasa baada ya Kuangalia tu 'Body Language' ya Rais Dkt. Magufuli na 'Hofu' machoni mwa Waalikwa ila nitakisema baadae kabisa.

Na leo pia nimeweza kujua 'Sifa' nyingine aliyonayo Rais Dkt. Magufuli ya kutokuwa Mtu wa 'Kutabirika' kutopenda 'Mazoea' hana 'Unafiki' na anachukia mno Mtu 'Kujipendekeza' hovyo Kwake.
Hakika uliyogundua juu ya hili jiwe la Chamwino ndo ilivyo.
 
Je, yeye ana uhakika wa kumaliza mitano tena? ICC wamekiri kupokea mzigo
Wewe uliwahi kusikia ama kuona wapi Rais wa JMT anashtakiwa wakati au baada ya Urais wake?

Tatizo vijana mnaivamia siasa bila kujipa muda wa Kupitia mawili matatu yanayohusiana na siasa. Maana hata katiba ya nchi yenu tu siku hizi hamuijui .
 
Prof Palamagamba Kabudi - ninaishi wosia watu wawili;

"Usiruhusu watu wakuandae kwa cheo chochote wala usijiandae kwa cheo chochote. Ukiwaruhusu watu wakuandae kwa cheo chochote na haswa kama hawana mamlaka ya uteuzi au hawaamui kwa kura zao, utafadhaika na kuishi maisha ya shida. Usijiandae kwa cheo chochote maana ukipata utakua na kiburi na fahari, na ukikosa utamchukia yule aliyepewa na kumfanya adui yako. Kumbe ndio kudra ya mwenyezi Mungu na ndio fungu lake - Baba mzazi rev Aidan Kabudi


"..........Kwa kiongozi yoyote aliyeitwa kuwa msaidizi kama Haruni alivyoitwa kwa Musa JUA KIMO CHAKO, JUA UKOMO WAKO, HESHIMU MIPAKA YAKO"
Kiongozi mkuu hazoeleki na usimzoee, tii, mheshimu, mshauri kwa hekima na kiasi, na akiamua tofauti na ushauri wako usinune. Utekeleze kama vile hukuwahi kumshauri tofauti na alivyoamua. Na akitekeleza kama ulivyomshauri usitoke ukaringa na kutamba hata kwa mke wako au kwa mme wako maana yote ni maamuzi yake" - Cardinal Pengo


My take:

Kwa kwa Cardinali Pengo kuongea maneno hayo hadharani ni haki yake na yupo sahihi kulingana wajibu wake wa utumishi wa kiroho katika jamii

Kwa Palamagambo Kabudi ni Mtaji wa kujikuza kisiasa hadharani, yawezekana aliyoyasema ni kweli lakini watu (wenye busara) watajiuliza kwanini na kwa faida ya nani waziri kama yeye aongee maneno hayo yanayohusiana na utendaji wa kazi yake na kazi za wengine???--- kumbuka sio kila jambo la UKWELI linaweza kutamkwa hadharani, na hata kama hatotamka huo ukweli hadharani je ni kwa kiasi gani tunaweza kuingia ndani ya moyo wake tujue kwamba anaishi na hayo aliyoyasema (he lives the talk)??, ndiyo maana nikasema most probably hayo maneno yake ni political milestone yaani anajifagilia njia yeye mwenyewe.

Historia ya Kabudi inaonyesha ni mtu wa kujikomba (Sycophant) kwa mkubwa, kama utakumbuka alipata kusema; Rais Magufuli kamuokota jalalani, hakika haiingii akilini kwa Profesa kama yeye kutamka maneno yale, watu tunahoji; jalalani ni wapi?, je huko jalalani alikuwa akifanya kazi peke yake???, na je huko jalalani alikuwa akifanya kazi ipi??, "takataka" za huko jalalani ni zipi???7----- sasa utaona kwa muktadha huo kauli yake ya kujidhalilisha, japo yeye anaiona ni ya kujinyenyekeza kwa mkubwa, inawatusi watu wengi sana waliopo huko "jalalani" alipookotwa na Magufuli.

Shida nyingine ya Prof Kabudi ni kuonyesha picha ya udini waziwazi katika maeneo ya shughuli za kiserikali mfano ni hiyo nukuu ya Haruni, tunajua Serikali haina dini (Neutral/ secular) kwa maana serikali ipo kwa ajili ya watu wote wenye dini na wasio na dini, sasa anapokuwa, saa zingine, ananukuu bila aibu vifungu kutoka Biblia katika shughuli za umma/kiserikali bila kujali kwamba wanachi wanaomsikiliza wanazo dini tofauti, sasa hiyo ni ishara ya udini, na mtu wa aina hiyo akipewa madaraka ya Uraisi kamwe hatoficha makucha ya udini na bila shaka ataipasua nchi vipande viwili kidini. Tz ni rahisi sana kupasuka kidini kuliko kupasuka kikabila. Kabudi ni mdini.
 
Mwenye kujua ni Mungu tu!Kwani yeye ana uhakika gani wa kuimaliza hiyo miaka 5? Anaweza akakutwa na mauti akamwacha Majaliwa akiendelea.
 
My take:

Kwa kwa Cardinali Pengo kuongea maneno hayo hadharani ni haki yake na yupo sahihi kulingana wajibu wake wa utumishi wa kiroho katika jamii

Kwa Palamagambo Kabudi ni Mtaji wa kujikuza kisiasa hadharani, yawezekana aliyoyasema ni kweli lakini watu (wenye busara) watajiuliza kwanini na kwa faida ya nani waziri kama yeye aongee maneno hayo yanayohusiana na utendaji wa kazi yake na kazi za wengine???--- kumbuka sio kila jambo la UKWELI linaweza kutamkwa hadharani, na hata kama hatotamka huo ukweli hadharani je ni kwa kiasi gani tunaweza kuingia ndani ya moyo wake tujue kwamba anaishi na hayo aliyoyasema (he lives the talk)??, ndiyo maana nikasema most probably hayo maneno yake ni political milestone yaani anajifagilia njia yeye mwenyewe.

Historia ya Kabudi inaonyesha ni mtu wa kujikomba (Sycophant) kwa mkubwa, kama utakumbuka alipata kusema; Rais Magufuli kamuokota jalalani, hakika haiingii akilini kwa Profesa kama yeye kutamka maneno yale, watu tunahoji; jalalani ni wapi?, je huko jalalani alikuwa akifanya kazi peke yake???, na je huko jalalani alikuwa akifanya kazi ipi??, "takataka" za huko jalalani ni zipi???7----- sasa utaona kwa muktadha huo kauli yake ya kujidhalilisha, japo yeye anaiona ni ya kujinyenyekeza kwa mkubwa, inawatusi watu wengi sana waliopo huko "jalalani" alipookotwa na Magufuli.

Shida nyingine ya Prof Kabudi ni kuonyesha picha ya udini waziwazi katika maeneo ya shughuli za kiserikali mfano ni hiyo nukuu ya Haruni, tunajua Serikali haina dini (Neutral/ secular) kwa maana serikali ipo kwa ajili ya watu wote wenye dini na wasio na dini, sasa anapokuwa, saa zingine, ananukuu bila aibu vifungu kutoka Biblia katika shughuli za umma/kiserikali bila kujali kwamba wanachi wanaomsikiliza wanazo dini tofauti, sasa hiyo ni ishara ya udini, na mtu wa aina hiyo akipewa madaraka ya Uraisi kamwe hatoficha makucha ya udini na bila shaka ataipasua nchi vipande viwili kidini. Tz ni rahisi sana kupasuka kidini kuliko kupasuka kikabila. Kabudi ni mdini.

Umeandika hisia zako zaidi ya kile alichoongea Kabudi. Na sababu hizo ni hisia kwa mtu unayemuona tuu zinaweza kuwa sahihi au zisiwe sahihi.
Kuhusu hilo la udini nakataa, na nakushauri uijue familia ya kabudi kwanza, ujue familia ile yenye wakristo na waislam wanaoishi kwa upendo na amani kubwa.
 
My take:

Kwa kwa Cardinali Pengo kuongea maneno hayo hadharani ni haki yake na yupo sahihi kulingana wajibu wake wa utumishi wa kiroho katika jamii

Kwa Palamagambo Kabudi ni Mtaji wa kujikuza kisiasa hadharani, yawezekana aliyoyasema ni kweli lakini watu (wenye busara) watajiuliza kwanini na kwa faida ya nani waziri kama yeye aongee maneno hayo yanayohusiana na utendaji wa kazi yake na kazi za wengine???--- kumbuka sio kila jambo la UKWELI linaweza kutamkwa hadharani, na hata kama hatotamka huo ukweli hadharani je ni kwa kiasi gani tunaweza kuingia ndani ya moyo wake tujue kwamba anaishi na hayo aliyoyasema (he lives the talk)??, ndiyo maana nikasema most probably hayo maneno yake ni political milestone yaani anajifagilia njia yeye mwenyewe.

Historia ya Kabudi inaonyesha ni mtu wa kujikomba (Sycophant) kwa mkubwa, kama utakumbuka alipata kusema; Rais Magufuli kamuokota jalalani, hakika haiingii akilini kwa Profesa kama yeye kutamka maneno yale, watu tunahoji; jalalani ni wapi?, je huko jalalani alikuwa akifanya kazi peke yake???, na je huko jalalani alikuwa akifanya kazi ipi??, "takataka" za huko jalalani ni zipi???7----- sasa utaona kwa muktadha huo kauli yake ya kujidhalilisha, japo yeye anaiona ni ya kujinyenyekeza kwa mkubwa, inawatusi watu wengi sana waliopo huko "jalalani" alipookotwa na Magufuli.

Shida nyingine ya Prof Kabudi ni kuonyesha picha ya udini waziwazi katika maeneo ya shughuli za kiserikali mfano ni hiyo nukuu ya Haruni, tunajua Serikali haina dini (Neutral/ secular) kwa maana serikali ipo kwa ajili ya watu wote wenye dini na wasio na dini, sasa anapokuwa, saa zingine, ananukuu bila aibu vifungu kutoka Biblia katika shughuli za umma/kiserikali bila kujali kwamba wanachi wanaomsikiliza wanazo dini tofauti, sasa hiyo ni ishara ya udini, na mtu wa aina hiyo akipewa madaraka ya Uraisi kamwe hatoficha makucha ya udini na bila shaka ataipasua nchi vipande viwili kidini. Tz ni rahisi sana kupasuka kidini kuliko kupasuka kikabila. Kabudi ni mdini.
Kiufupi tu ni kwamba Profesa Kabudi ni 'hypocrite' na 'sycophant' aliyetukuka na katika 'point' yako ya kuwa ni 'Mdini' pia nakubaliana nawe 100%.
 
Umeandika hisia zako zaidi ya kile alichoongea Kabudi. Na sababu hizo ni hisia kwa mtu unayemuona tuu zinaweza kuwa sahihi au zisiwe sahihi.
Kuhusu hilo la udini nakataa, na nakushauri uijue familia ya kabudi kwanza, ujue familia ile yenye wakristo na waislam wanaoishi kwa upendo na amani kubwa.


Mimi sijandika kwa hisia bali kwa hali halisi ya mtu mwenyewe. Hebu chukua huu mfano halisi kutoka katika kauli zake ulizoziweka hapa wewe mwenyewe:- (nakunukuu wewe) ulipoleta kauli hii ya prof Kabudi akizungumzia juu ya kutoa ushauri kwa Kiongozi mkuu (Rais) na anasema: "-------- na akiamua tofauti na ushauri wako usinune utekeleze kama vile hukuwahi kumshauri tofauti na alivyoamua----", mwisho wa kunukuu.


Kwa kauli kama hiyo unaweza kusema kweli huyo ni profesa au reverend??!!----- ilipaswa aseme hivi; "----- na akiamua tofauti na ushauri wako usinune utekeleze kama vile hukuwahi kumshauri tofauti na alivyoamua vinginevyo kama hukubalini naye kwa maslahi mapana ya taifa na ustawi wake yakupasa ujiuzulu"

Hayo maneno niliyoyaongeza katika kauli ya Kabudi uliyotuletea ndiyo haswa yanayojenga uzalendo na kujiamini kwa mtumishi kama yeye, yanajenga "integrity and magnanimity" ya mtu, hayaonyeshi KUJIKOMBA kinyume na kauli yake ya mwanzo.

Angalia hatari ya kauli yake:-

Mfano, kunapotokea mahitaji ya aina mbili katika nchi, mahitaji ya zana za kilimo na mahitaji ya dawa za binadamu, mahitaji yote hayo yanagusa ustawi wa jamii, Kabudi akae na ashauriane na mkuu wa nchi juu ya ni hitaji lipi lianze kushughulikiwa kutokana na fedha iliyokuwepo, kwa akili ya kawaida tu hitaji muhimu katika hayo mawili ni madawa, sasa kama Mkuu atasema; "hapa kazi tu, tununue vifaa vya kilimo" kinyume na ushauri wa kabudi wa kununua madawa, basi kabudi hatokuwa na njia bali kutii na kunyenyekea maamuzi ya mkuu, hatari ni hii; kwa kukosa madawa maisha ya watu yapo hatarini kiafya na maisha ya watu wengi yanaweza kupotea katika hali hiyo nani atatakiwa kuwajibika???, bila shaka wote wawili mshauri na mshauriwa, ili mshauri ajinasue kwenye mtego wa lawama ilitakiwa ajiuzulu pale tu ushauri wake ulipokataliwa na hapo atakuwa kaonyesha uzalendo na kalinda heshima yake na legecy pia.

Kuhusu udini nasema hivi; prof Kabudi mara kadhaa katika hafla za kiserikali amekuwa akinukuu vifungu vya Biblia, kwa wadhifa wake na kazi yake hapaswi kuingiza jambo lolote la kidini, kufanya hivyo ni sawa na kufanya mahubiri ya kidini kazi ambayo ni ya Wachungaji, priests (Clergies), masheikh nk.

Inatakiwa anukuu vifungu vya Biblia katika mikutano yake binafsi ya kiraia lakini sio katika dhifa na khafla za kiserikali.

Kuwa na familia yenye Wakristo na waislamu hiyo haiondoi udini wa mtu kwani dini ni imani ya mtu binafsi wala sio jambo la kifamilia.
 
Afanye hivi;
1.Aongoze kwa hekima na busara sana.

2. Atambue jamaa hatupenda sana amteue kuwa PM tena, ila kuna mtu alipenda achukue nafasi hiyo(sitomtaja hapa)

3. Ajiulize kwa nini rais amejaribu kufuatilia historia ya mawaziri wakuu waliopita, alitaka kufanya nini!?

4. Aitumikie nafasi hii kwa muda fulani punde waziri yeyote akifanya uzembe utakaoigharimu nchi yeye(PM) ajiuzuru haraka KAMA KWELI ANAPENDA BAADAE KUWA KIONGOZI MKUBWA.

5. Hasipo zingatia kipengere namba 4, atajuta sana.
All in all Waziri Mkuu wa KMajaliwa ni wa jina tu sioni kwa vitendo kama angeweza kufananishwa na waliotangulia. Kimsingi kuna Mawaziri wana influence na nguvu kwa Magufuli kuliko KMajaliwa.
 
Rais Dk. Magufuli ana karibia 99.9% ya 'Sifa' zangu zote za 'Kiasili' kabisa kama vile.....

1. Kutoogopa
2. Kujiamini
3. Ukweli
4. Uwazi
5. Kutotabirika
6. Kutopenda Kushobokewa
7. Kutokuwa Mnafiki na Kumuonea Mtu Aibu hata kama ni Baba yangu, Mama yangu, Dada na Kaka yangu, Ndugu na Marafiki zangu wote

Yawezekana na Mimi GENTAMYCINE labda pasipokujua Mwenyezi Mungu 'ananiandaa' nami kuja kuwa Rais wa Tanzania ambapo 'mtanikoma' tu.
Kama una sifa za yule tambua kwamba hufai hata kuongoza familia ile ni big mistake ilifanyika tu na waliosababisha nadhani wameshajuta kwa namna zote
 
Back
Top Bottom