Hata APPT - MAENDELEO bado kiko hai na kinazidi kujiimalisha!Wafuasi wakubwa wa mwendazake waliambiwa na wakaaminishwa kuwa CHADEMA imekufa kisa wabunge wake wamehamia CCM.
Baada ya uchagzi tukaaminishwa na Polepole kuwa CHADEMA sasa imebakia jina MATAGA wakakenua meno.
Sasa nawaambia kuwa CHADEMA ni sawa na mnyama katili na mvumilivu wa maumivu na sumu kali hata ya nyoka.
CHADEMA ilionewa sana na kama isingekuwa uongozi thabiti wa mh Mbowe leo hii cdm ingekuwa sawa na CUF,TLP na wenzake kina TADEA na NCCR.
Sasa CHADEMA tumeanza kujiimarisha na kuthibitisha kuwa sisi ni chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania.
Mwendawazimu na legacy yake ya kuua CHADEMA kafa yeye 😂Wafuasi wakubwa wa mwendazake waliambiwa na wakaaminishwa kuwa cdm imekufa kisa wabunge wake wamehamia ccm.
Inatosha!!!Amekufa aliyetangaza kifo cha cdm
Alietaka ife ndio kafa, na kwa kuthibitisha kuwa aitakufa hivi sasa wanajenga ofisi zao wenyewe nchi nzima, kwa ufupi chadema ni pasua kichwa.Amekufa aliyetangaza kifo cha cdm
Kwa mara ya mwisho uliongea na Nduguyai lini?Bogus na pumba toka kwa mburula wa Cdm
Chadema ipo kwenye makaratasi ya msajiri
Ooh ni habari njemaHata APPT - MAENDELEO bado kiko hai na kinazidi kujiimalisha!
Mla panya wa kimakonde huwezi kuwa na akili hata kiduchu.Huyo hiyo access ya kuongea na Ndugaye hata kuota hawezi kuota
Wafuasi wakubwa wa mwendazake waliambiwa na wakaaminishwa kuwa cdm imekufa kisa wabunge wake wamehamia ccm.
Baada ya uchagzi tukaaminishwa na Polepole kuwa cdm sasa imebakia jina MATAGA wakakenua meno.
Sasa nawaambia kuwa cdm ni sawa na mnyama katili na mvumilivu wa maumivu na sumu kali hata ya nyoka.
Cdm ilionewa sana na kama isingekuwa uongozi thabiti wa mh Mbowe leo hii cdm ingekuwa sawa na CUF,TLP na wenzake kina TADEA na NCCR.
Sasa cdm tumeanza kujiimarisha na kuthibitisha kuwa sisi ni chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania.
......https://www.instagram.com/p/CPbCqPNAZmp/?utm_medium=copy_link
Chadema haiwezi kufa kamwe,Watu washafukia kichwa wewe unajidai bado hakijafa.
Tuanze na hili hiko cdm kilichopo kiko wapi? Kama cdm ni Mbowe sawa kipo ila kama kuna Jibu tofauti na hilo basi kishakufa long time.
Jiwe alileta ujuaji na kuwadanganya kuwa Cdm imekufa, nadhani unajua kati ya Cdm na Jiwe nani amekufa.We mla pacha wa msumbiji Chadema ipo hai?
Baba yako kwa mara ya mwisho alimnunulia mama yako nguo lini? Basi kushindwa ni kwa kila mahaliDj ameshindwa kulipa mishaharaView attachment 1800563