Kirokonya
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 2,280
- 7,535
.....if you fail to win them, join them!Chadema imeishia kupongeza tu
.....principle applied, Over and Out!
.....if you fail to win them, join them!Chadema imeishia kupongeza tu
Ni wakati sasa wa wana cdm wenye mapenzi ya kweli tumpongeze kiongozi wetu na sisi wana chadema wenyewe tujipige kifua na kusema .....CHADEMA NI KIMBILIO LA WAPENDA HAKI NA AMANI.Na Cha kushangaza pamoja na Samia kusifiwa Sana kuwa kurekebishwa ujinga mwingi wa Mwendakuzimu Lakini Mama na CCM yake wameshindwa kuruhusu Shughuli za kisiasa kama mikutano ya hadhara ifanyike kama zamani.
Hii ni kwa Sababu ya kuihofia CDM.
Walizuia mikutano ya Siasa wakatangaziana kuwa wamekua CDM.
Waliweza kuua Viongozi wa CDM Lakini wameshindwa kuua his za wapenzi wa CDM.
Nakuongezea hapo kavesi kengine chadema ni kama maji ukishindwa kuyanywa utayaoga ukishindwa kuyaoga utayapikia ukishindwa kuyapikia utayafulia chadema ni limto au limongo limanongaWafuasi wakubwa wa mwendazake waliambiwa na wakaaminishwa kuwa CHADEMA imekufa kisa wabunge wake wamehamia CCM.
Baada ya uchagzi tukaaminishwa na Polepole kuwa CHADEMA sasa imebakia jina MATAGA wakakenua meno.
Sasa nawaambia kuwa CHADEMA ni sawa na mnyama katili na mvumilivu wa maumivu na sumu kali hata ya nyoka aitwaye ...NYEGERE.
CHADEMA ilionewa sana na kama isingekuwa uongozi thabiti wa mh Mbowe leo hii cdm ingekuwa sawa na CUF,TLP na wenzake kina TADEA na NCCR.
Sasa CHADEMA tumeanza kujiimarisha na kuthibitisha kuwa sisi ni chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania.
Wanapoona na walipoona tunamshabikia Mama Samia wakadhani na wanadhani tulikua tumeachana na CDM yetu,la hasha.Cdm kwa sasa inawapa wasiyo ipenda ugonjwa wa moyo
💪💪💪💪💪💪✌️✌️✌️✌️👌👌👌👌🤝🤝Ni wakati sasa wa wana cdm wenye mapenzi ya kweli tumpongeze kiongozi wetu na sisi wana chadema wenyewe tujipige kifua na kusema .....CHADEMA NI KIMBILIO LA WAPENDA HAKI NA AMANI.
Bogus na pumba toka kwa mburula wa Cdm
Chadema ipo kwenye makaratasi ya msajiri
Tena mungu aliye juu chadema inawatesa sana hawa matagaUbarikiwe sana na CDM ni mpango wa Mungu.
Watu washafukia kichwa wewe unajidai bado hakijafa.
Tuanze na hili hiko cdm kilichopo kiko wapi? Kama cdm ni Mbowe sawa kipo ila kama kuna Jibu tofauti na hilo basi kishakufa long time.
Huna uwezo wa kutambua uhai wa chama ndio maana unaropoka kama unahara. Chama kilicho hai kinajulikana hasa kiongozi wake akitoa matamko.Hapo ulipo unatamani iwe hivyo lakini haiwezekani. Ccm ilikosea kuiacha cdm kutoka kuwa chama cha siasa hadi kuwa imani.