Kwa mbinu za 2020 na 2019 mtashinda lkn kwa haki bin haki hamtoboi katuCCM ushindi ni mapema kama Kaizer Chiefs!
Babu Duni lazima aketishwe mapema kabisa.Kwa mbinu za 2020 na 2019 mtashinda lkn kwa haki bin haki hamtoboi katu
Ati lazima!CCM LAZIMA ishinde ili kumpa Mwenyekiti wa Chama zawadi yake ya kwanza kama Mwenyekiti. Kwahiyo, like jua, ije mvua LAZIMA tushinde majimbo yote mawili.
1.Kuna makubaliano kati ya Chadema na ACT kuwa wasimamishe mgombea mmoja kuepuka kugawana kura.Nadhani CHADEMA hawakusimamisha wagombea. So, it is obvious NEC itawachagua wagombea wa chama gani. It is a no-brainer.
#2 ni sahihi. Otherwise haileti maana sana kukubaliana na ACT kuweka mgombea mmoja in a situation ambapo hakuna imani na NEC.1.Kuna makubaliano kati ya Chadema na ACT kuwa wasimamishe mgombea mmoja kuepuka kugawana kura.
2. Chadema hairidhiki na NEC hii kusimamia uchaguzi wowote.
Sema hivi "ni lazima tupore na tutangazwe" ili DEDs wasije kutumbuliwa maana PDF lao lipo mezani kwa Mwenyekiti wa CCMKwahiyo, like jua, ije mvua LAZIMA tushinde majimbo yote mawili.
Ndiyo maana tunauliza the situation on the ground, hasa mawakala kama wanafanya kazi yao bila intimidations from police/TISS JWTZ?????? (hawa mara nyingi ni wasafi)CCM bila wizi wa kura haitoboi nchi hii
Umeuliza updates lakini kichwani una za kwako?Kwa mbinu za 2020 na 2019 mtashinda lkn kwa haki bin haki hamtoboi katu
Mark my word!!Ati lazima!
Muhambwe lolote laweza kutokea
Hashindi. Mnachukua; kwa sababu refa ni ninyi. Hongereni sana.CCM LAZIMA ishinde ili kumpa Mwenyekiti wa Chama zawadi yake ya kwanza kama Mwenyekiti. Kwahiyo, like jua, ije mvua LAZIMA tushinde majimbo yote mawili.
Ahsante!Hashindi. Mnachukua; kwa sababu refa ni ninyi. Hongereni sana.