Hawa watu walio kwenye ajira ndio chanzo kikuu cha ukosefu ajira kwa sisi magraduet. Nasema hivi kwasababu kila ajira ikitangazwa na unapoenda interview zaidi ya nusu ya watu watu wanaoitwa ni watu waliomakazini na hao bada ya interview wanapewa kazi kutokana na experience waloi nayo.
Sisi tulio magraduet tunabaki kuangaika bila ajira. Ombi langu kaka na dada zangu naombeni mtulie na kazi mlizonazo muache uroho wa kuhamahama ofisi.
Sisi tulio magraduet tunabaki kuangaika bila ajira. Ombi langu kaka na dada zangu naombeni mtulie na kazi mlizonazo muache uroho wa kuhamahama ofisi.