Mlio karibu na Rais Samia, mwambieni ukweli kuwa mtaani biashara haziendi

Why utoe tusi
Huwezi kosoa bila matusi?

Wapi uliona nimemtukana Magufuli?..
Waliokuwa wanamtukana magufuli ni viongozi na wengine ambao walitolewa kwenye ulaji na mdaraka pia wana CCM,

Upinzani walikua wanadakia tu,
Leo hii wamerudishwa kwenye nafasi na uhuru wa kufisadi sasa wamekaa kimya kazi ni kusifia tu ili waibe vizuri.
Wengine sasa wanaruka angani tu kwa kazi iendelee, sijui hizo safari zitapunguza ugumu wa maisha ya mtz au ndo nafasi za kufaidi mema ya nchi?
 
Usitetee ujinga, chanzo cha yote haya ni jiwe. leo Mama anahangaika kurekebisha mifumo iliyovurugwa na jiwe ndio maana mambo hayaendi.Bora Mama mara 1000 kuliko Jiwe.
Kwani huyo mama alikua wapi? Si na yeye alikua ni Raisi wakipindi hicho.

Nchi hii ni ngum Sana. Watu wanaacha hoja za msingi kama athari ya Covid ambayo ni global crisis halafu watumia uelewa mdogo wa lawama kwa Marehemu.

Juzi Rais wetu kasema uchumi wetu umesinyaa kutoka kukua kwa 7% Hadi 4% kutokana na athari za covid.

Hayo mengine ni porojo na uchonganishi.
 
Mahindi bei chini wapi, hapa dodoma junia 52,000/= , mahindi bei imeshoot sana na lazima junia lifike 70,000/=
Kwan dodoma kilimo cha mahindi kimetaradadi kama mikoa ya nyanda za juu kusini. Nenda hiyo mikoa au ulizia bei tukwambie, rukwa saiz mahindi ni 30 gunia, ila ndan ya Rukwa humo humo kuna sehemu gunia n elfu 35 na kuna sehem gunia ni elfu 23+ (vijijini). Nenda Songwe, gunia n elfu 25-30, mbeya hivo hivo. Sasa sijui unataka kufananisha bei ya dom na agricultural regions.

Lakini pia mwez wa tisa serikali ilikuja na mkakati wa kununua mahindi yenyewe huku Rukwa, gunia walikuwa wananunua elfu 50 ila sasa wanahitaji mahindi yaliyo safi maana asilimia 95 ya mahindi ya Tz n machafu. Sasa ukipeleka gunia linapepetwa na mahind mabovu yanaokotwa mpaka unakuta debe mbili zimesepa. Watu walioshoboka na bei za serikal wakapeleka mahind mbona walirudisha kwenye maghala yao wenyewe. Mbaya zaidi hiyo shughuli yote ya upepetaji, usafirishaji wa mahindi, ushushaji wa hayo mahind ni juu yako mmliki wa hayo mahindi. Ambapo kwa mahesabu mpk shughuli ya kuchambua gunia moja inaisha mtu sh 8000 inamtoka, gunia linabak 42,000. Haya hapo toa tena lose ya debe mbili weweeeeee. Kama huyajui haya mambo we nyamaza tuuu
 
Hali mtaani inakuwa mbaya zaid na zaidi.

Biashara haziendi wateja amna hatuelewi nn shida?

Njoo kariakoo asubuhi mpaka jioni biashara zimegoma.

Njoo Sinza madukani maduka yako wazi kuanzia asubuhi mpaka jioni hata wale wa kuulizia.

Hata yake maduka tuliozoea kuona yamejaa watu kama vunjabei na usiendekariakoo nao saa hizi siku nzima wanaingia watu wachache sana tofauti na tulivyozoea.

Nini shida?
Wewe ni muongo mkubwa zuzu kabisa,mtaa gani ambao biashara haziendi? Aisee saizi kuna nafuu hadi raha
 
Wanasema ukuona biashara zinafungwa ndio ujue hakuna pesa, lakini biashara ipo daily basi jua mambo yanasonga.

Hivyo wafanyabiashara tambueni siku azilingani na muache kulia lia..
Haya wee endelea kula kiyoyozi, mwisho wa mwezi si mshahara unaingia kakinge
 
Kwan dodoma kilimo cha mahindi kimetaradadi kama mikoa ya nyanda za juu kusini. Nenda hiyo mikoa au ulizia bei tukwambie, rukwa saiz mahindi ni 30 gunia, ila ndan ya Rukwa humo humo kuna sehemu gunia n elfu 35 na kuna sehem gunia ni elfu 23+ (vijijini). Nenda Songwe, gunia n elfu 25-30, mbeya hivo hivo. Sasa sijui unataka kufananisha bei ya dom na agricultural regions.

Lakini pia mwez wa tisa serikali ilikuja na mkakati wa kununua mahindi yenyewe huku Rukwa, gunia walikuwa wananunua elfu 50 ila sasa wanahitaji mahindi yaliyo safi maana asilimia 95 ya mahindi ya Tz n machafu. Sasa ukipeleka gunia linapepetwa na mahind mabovu yanaokotwa mpaka unakuta debe mbili zimesepa. Watu walioshoboka na bei za serikal wakapeleka mahind mbona walirudisha kwenye maghala yao wenyewe. Mbaya zaidi hiyo shughuli yote ya upepetaji, usafirishaji wa mahindi, ushushaji wa hayo mahind ni juu yako mmliki wa hayo mahindi. Ambapo kwa mahesabu mpk shughuli ya kuchambua gunia moja inaisha mtu sh 8000 inamtoka, gunia linabak 42,000. Haya hapo toa tena lose ya debe mbili weweeeeee. Kama huyajui haya mambo we nyamaza tuuu
Huwa nawatazama sana watu wanaowaambia wengine kupambana au kufanya biashara fulani as if ni kitu rahisi au kimenyooka kama barabara ya ulaya
 
Siku hizi ijumaa ukipita kwenye hizi pub za mitaani huku maeneo ya tabata ukitoa kitambaa cheupe, 40ty40ty , small planet na the likes, biashara ni ngumu na hakuna wateja yaani viti ni vyeupe majiko aidha hayana vitu au yamefungwa inakatisha tamaa sana.

Mimi huwa nawaonea huruma sana wafanya biashara wadogo.
 
Hali mtaani inakuwa mbaya zaid na zaidi.

Biashara haziendi wateja amna hatuelewi nn shida?

Njoo kariakoo asubuhi mpaka jioni biashara zimegoma.

Njoo Sinza madukani maduka yako wazi kuanzia asubuhi mpaka jioni hata wale wa kuulizia.

Hata yake maduka tuliozoea kuona yamejaa watu kama vunjabei na usiendekariakoo nao saa hizi siku nzima wanaingia watu wachache sana tofauti na tulivyozoea.

Nini shida?
Yeye hajui hata bei ya nyanya mkuu
 
Kwan dodoma kilimo cha mahindi kimetaradadi kama mikoa ya nyanda za juu kusini. Nenda hiyo mikoa au ulizia bei tukwambie, rukwa saiz mahindi ni 30 gunia, ila ndan ya Rukwa humo humo kuna sehemu gunia n elfu 35 na kuna sehem gunia ni elfu 23+ (vijijini). Nenda Songwe, gunia n elfu 25-30, mbeya hivo hivo. Sasa sijui unataka kufananisha bei ya dom na agricultural regions.

Lakini pia mwez wa tisa serikali ilikuja na mkakati wa kununua mahindi yenyewe huku Rukwa, gunia walikuwa wananunua elfu 50 ila sasa wanahitaji mahindi yaliyo safi maana asilimia 95 ya mahindi ya Tz n machafu. Sasa ukipeleka gunia linapepetwa na mahind mabovu yanaokotwa mpaka unakuta debe mbili zimesepa. Watu walioshoboka na bei za serikal wakapeleka mahind mbona walirudisha kwenye maghala yao wenyewe. Mbaya zaidi hiyo shughuli yote ya upepetaji, usafirishaji wa mahindi, ushushaji wa hayo mahind ni juu yako mmliki wa hayo mahindi. Ambapo kwa mahesabu mpk shughuli ya kuchambua gunia moja inaisha mtu sh 8000 inamtoka, gunia linabak 42,000. Haya hapo toa tena lose ya debe mbili weweeeeee. Kama huyajui haya mambo we nyamaza tuuu
Wenzenu wa manyara, mahindi yanapokua bei chini, wanakoboa na kusafirusha sembe mpaka central zone au lake zone, wakufika wanaua soko, wanauza chap na kupiga faida
 
Hali mtaani inakuwa mbaya zaid na zaidi.

Biashara haziendi wateja amna hatuelewi nn shida?

Njoo kariakoo asubuhi mpaka jioni biashara zimegoma.

Njoo Sinza madukani maduka yako wazi kuanzia asubuhi mpaka jioni hata wale wa kuulizia.

Hata yake maduka tuliozoea kuona yamejaa watu kama vunjabei na usiendekariakoo nao saa hizi siku nzima wanaingia watu wachache sana tofauti na tulivyozoea.

Nini shida?
Tunatawaliwa na wageni.
 
Back
Top Bottom