Mlio karibu na Rais Samia, mwambieni ukweli kuwa mtaani biashara haziendi

Mubby777

JF-Expert Member
Oct 17, 2018
1,638
5,642
Hali mtaani inakuwa mbaya zaid na zaidi.

Biashara haziendi wateja amna hatuelewi nn shida?

Njoo kariakoo asubuhi mpaka jioni biashara zimegoma.

Njoo Sinza madukani maduka yako wazi kuanzia asubuhi mpaka jioni hata wale wa kuulizia.

Hata yake maduka tuliozoea kuona yamejaa watu kama vunjabei na usiendekariakoo nao saa hizi siku nzima wanaingia watu wachache sana tofauti na tulivyozoea.

Nini shida?
 
Mvua zilizoanza kunyesha zinatuchanganya sanaaaa. Mbolea bei juuuuu mahindi bei chini. Sasa mnataka tuuze mahindi yote ndo tununue mbolea au? Sasa tutakula nini? Yani mama asipomwaga hela hapa kwenye mbolea I swear mwakani watakaokuwa na mahindi wataitwa maboss😂😂😂
 
Kaeni hivo hivo dawa iwaingie maana mlishangilia kifo Cha jiwe kwa kusema mambo yatakuwa Safi mtaani, Kwa lugha nyepesi vyuma vitalegea.

Mwanamke ameumbwa kwajili ya kuwa msaidizi tu nasiyo Top.. That's nature.
 
Leo kila lugha itanenwa, kila tusi litatukanwa, baada ya siku tatu watu watasahau maisha yataendelea...
 
Hali mtaani inakuwa mbaya zaid na zaidi.

Biashara haziend wateja amna hatuelewi nn shida?

Njoo kariakoo asubuhi mpaka jioni biashara zimegoma.

Njoo sinza madukan maduka yako wazi kuanzia asubuh mpk jion hata wale wa kuulizia.

Hata yake maduka tuliozoea kuona yamejaa watu kama vunjabei na usiendekariakoo nao sahiz siku nzima wanaingia watu wachache sana tofaut na tulivyozoea.

Nini shida?
wacha tumfunge Mbowe kwanza, mambo yatakuwa swari...vumilia mtoto wa kiume acha kulia lia tupo kazini.
 
Hali mtaani inakuwa mbaya zaid na zaidi.

Biashara haziend wateja amna hatuelewi nn shida?

Njoo kariakoo asubuhi mpaka jioni biashara zimegoma.

Njoo sinza madukan maduka yako wazi kuanzia asubuh mpk jion hata wale wa kuulizia.

Hata yake maduka tuliozoea kuona yamejaa watu kama vunjabei na usiendekariakoo nao sahiz siku nzima wanaingia watu wachache sana tofaut na tulivyozoea.

Nini shida?
Hali ya uchumi kwa wateja wa Ndani ni kweli haijaimarika kama tulivyotegemea. Ila kiukweli mnyonge mnyongeni haki yake mpeni wateja wa nje wameongezeka sana Toka nchi za Jirani, Congo, Malawi, Zambia na wengineo.

Sasa hivi unaweza usiuze kwa mbongo ila ukapata kwa mtu wa nje, hapa naongelea biashara ya Kariakoo.
 
Hali mtaani inakuwa mbaya zaid na zaidi.

Biashara haziend wateja amna hatuelewi nn shida?

Njoo kariakoo asubuhi mpaka jioni biashara zimegoma.

Njoo sinza madukan maduka yako wazi kuanzia asubuh mpk jion hata wale wa kuulizia.

Hata yake maduka tuliozoea kuona yamejaa watu kama vunjabei na usiendekariakoo nao sahiz siku nzima wanaingia watu wachache sana tofaut na tulivyozoea.

Nini shida?
Kila mwananchi kwa sasa analijua hilo , ila viongozi hawajui hili kwa vile wao wanajichotea tu mihela ya bure , Hali ni mbaya kuliko maelezo

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Kaeni hivo hivo dawa iwaingie maana mlishangilia kifo Cha jiwe kwa kusema mambo yatakuwa Safi mtaani, Kwa lugha nyepesi vyuma vitalegea.

Mwanamke ameumbwa kwajili ya kuwa msaidizi tu nasiyo Top.. That's nature.
We kweli mjinga, hii hali inanyorosha kotekote
 
Hali mtaani inakuwa mbaya zaid na zaidi.

Biashara haziend wateja amna hatuelewi nn shida?

Njoo kariakoo asubuhi mpaka jioni biashara zimegoma.

Njoo sinza madukan maduka yako wazi kuanzia asubuh mpk jion hata wale wa kuulizia.

Hata yake maduka tuliozoea kuona yamejaa watu kama vunjabei na usiendekariakoo nao sahiz siku nzima wanaingia watu wachache sana tofaut na tulivyozoea.

Nini shida?
Sasa wateja awatoe wapi
 
Back
Top Bottom