Ndebile
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 7,237
- 9,867
ni laptop aina ya Dell Latitude D600, ya zamani eti? Basi huwa inapiga kazi si mchezo,sasa hivi imeanza kutoa mlio wakati wa kufungua files hasa kama ni file kubwa,mlio wenyewe ni wachini sana kiasi kwamba sio rahisi kuusikia na unafanana kama wa msuguano hivi, sometime file linachelewa kufunguka au hata ku-freeze kabisa. Nitatizo gani hili wana JF?