Mlinzi wa shule ya Sekondari Scolastica, Hamis Chacha aliyeua Mwanafunzi, ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Fred Mwakitundu

JF-Expert Member
Dec 31, 2018
227
383
Taarifa kutoka Moshi zinapasha kuwa,Mahakama Kuu kanda ya moshi imemtia hatiani Hamisi Chacha aliyekuwa mlinzi wa shule ya sekondari ya scolastica baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kwa makusudi mwanafunzi Humphrey Makundi mwaka 2017.

Mwanafunzi huyo alikuwa anasoma kidato cha pili alishambuliwa na mlinzi huyo Novemba 6 mwaka 2017 na mwili wake ukatupwa mtoni mita 300 kutoka ilipo shule hiyo huku katika maelezo yake kwa mlinzi wa amani akidai baada ya kumpiga kwa ubapa wa panga na kupoteza fahamu,alipewa maelekezo na mmiliki wa shule hiyo,Edward Shayo kwenda kutupa mwili huo mtoni.

Shayo ni mshitakiwa wa pili kwenye kesi hiyo wakati mwalimu wa nidhamu Laban Nabiswa ambaye ni raia wa Kenya ni mshitakiwa wa tatu na wawili hao wamekutwa na kosa dogo la kuficha taarifa.

Jaji Firmin Matogolo anasoma hukumu muda huu na punde mambo yatakuwa tayari hapa

=====

UPDATES;

Mahakama Kuu imemhukumu kunyongwa hadi kufa aliyekuwa mlinzi wa shule ya Scolastica, Hamis Chacha kwa kosa la kumuua aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo, Humprey Makundi

 
Pole yake kwa yalio mpata, kapata hatia na biashara si yake duu ajali kazini ndiyo hiyo
 
Jumba bovu linamuangukia Mlinzi.. Kuficha taarifa sijui hukumu yake ni kifungo cha miezi mingapi??
 
Mwenye shule atakula miaka 7 au chini kidogo kama sikosei.
Hiyo ni active concealment of death.
 
Taarifa kutoka Moshi zinapasha kuwa,Mahakama Kuu kanda ya moshi imemtia hatiani Hamisi Chacha aliyekuwa mlinzi wa shule ya sekondari ya scolastica baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kwa makusudi mwanafunzi Humphrey Makundi mwaka 2017.

Mwanafunzi huyo alikuwa anasoma kidato cha pili alishambuliwa na mlinzi huyo Novemba 6 mwaka 2017 na mwili wake ukatupwa mtoni mita 300 kutoka ilipo shule hiyo huku katika maelezo yake kwa mlinzi wa amani akidai baada ya kumpiga kwa ubapa wa panga na kupoteza fahamu,alipewa maelekezo na mmiliki wa shule hiyo,Edward Shayo kwenda kutupa mwili huo mtoni.

Shayo ni mshitakiwa wa pili kwenye kesi hiyo wakati mwalimu wa nidhamu Laban Nabiswa ambaye ni raia wa Kenya ni mshitakiwa wa tatu na wawili hao wamekutwa na kosa dogo la kuficha taarifa.

Jaji Firmin Matogolo anasoma hukumu muda huu na punde mambo yatakuwa tayari hapa

Wote wametenda kosa, Muuwaji, na waficha taarifa.
 
Me bdo hainiingilii akilini kabsa kwamba unamkimbiza mtu na panga na unampiga nalo kwa ubapa anafariki, it doesn't make sense Kuna kitu cha ziada huyo mlinzi alifanya.
 
Taarifa kutoka Moshi zinapasha kuwa,Mahakama Kuu kanda ya moshi imemtia hatiani Hamisi Chacha aliyekuwa mlinzi wa shule ya sekondari ya scolastica baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kwa makusudi mwanafunzi Humphrey Makundi mwaka 2017.

Mwanafunzi huyo alikuwa anasoma kidato cha pili alishambuliwa na mlinzi huyo Novemba 6 mwaka 2017 na mwili wake ukatupwa mtoni mita 300 kutoka ilipo shule hiyo huku katika maelezo yake kwa mlinzi wa amani akidai baada ya kumpiga kwa ubapa wa panga na kupoteza fahamu,alipewa maelekezo na mmiliki wa shule hiyo,Edward Shayo kwenda kutupa mwili huo mtoni.

Shayo ni mshitakiwa wa pili kwenye kesi hiyo wakati mwalimu wa nidhamu Laban Nabiswa ambaye ni raia wa Kenya ni mshitakiwa wa tatu na wawili hao wamekutwa na kosa dogo la kuficha taarifa.

Jaji Firmin Matogolo anasoma hukumu muda huu na punde mambo yatakuwa tayari hapa

=====

UPDATES;

Mahakama Kuu imemhukumu kunyongwa hadi kufa aliyekuwa mlinzi wa shule ya Scolastica, Hamis Chacha kwa kosa la kumuua aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo, Humprey Makundi

Hatari saana
 
Taarifa kutoka Moshi zinapasha kuwa,Mahakama Kuu kanda ya moshi imemtia hatiani Hamisi Chacha aliyekuwa mlinzi wa shule ya sekondari ya scolastica baada ya kupatikana na hatia ya kumuua kwa makusudi mwanafunzi Humphrey Makundi mwaka 2017.

Mwanafunzi huyo alikuwa anasoma kidato cha pili alishambuliwa na mlinzi huyo Novemba 6 mwaka 2017 na mwili wake ukatupwa mtoni mita 300 kutoka ilipo shule hiyo huku katika maelezo yake kwa mlinzi wa amani akidai baada ya kumpiga kwa ubapa wa panga na kupoteza fahamu,alipewa maelekezo na mmiliki wa shule hiyo,Edward Shayo kwenda kutupa mwili huo mtoni.

Shayo ni mshitakiwa wa pili kwenye kesi hiyo wakati mwalimu wa nidhamu Laban Nabiswa ambaye ni raia wa Kenya ni mshitakiwa wa tatu na wawili hao wamekutwa na kosa dogo la kuficha taarifa.

Jaji Firmin Matogolo anasoma hukumu muda huu na punde mambo yatakuwa tayari hapa

=====

UPDATES;

Mahakama Kuu imemhukumu kunyongwa hadi kufa aliyekuwa mlinzi wa shule ya Scolastica, Hamis Chacha kwa kosa la kumuua aliyekuwa mwanafunzi wa shule hiyo, Humprey Makundi


Mmiliki amemtuma muuaji kuficha mwili wa aliyeuliwa,
Liwe funzo kwa wanaotumwa kuwa siku ya hukumu, hukumu itawahusu wao personally na si waliowatuma.

cc #tanpolice na wengine wa jamii yao
 
Hizi huku za kunyongwa hadi kufa siku hizi zimekuwa nyingi. Anyway Rest In Peace (for future use) kwa mlinzi.
 
Back
Top Bottom