Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,901
- 95,404
Bila video hii ni porojo!
Mzee naona bado damu zimechangamka....yule mwembamba kiasi nimemuona, but she is not my type.
..yule kibonge, na li-shepu lake, ndiye ninayemtaka mimi.
..akitoka huko kwenye stress zake anakuja kwa "joka kuu" kutulia.
Kaanguka mara 3 ndani ya sekunde 5 tu so funny lakini..Uzeee walimwambia wewe babu pumzika akakataa
Alianguka mwenyewe kwa hiari yake kwa kutoshirikisha macho yake akipanda kazi
Yule sio askkari
Si unamuona hapa Biden alivyoshindwa kushirikisha macho yake akajikwaa
Mzee naona bado damu zimechangamka..
Hahahaa
Akiii ninecheka eti kuku yupo chini chinikuku mwenyewe yupo chinichini ila anaanguka seuze binadamu??
#dumesuruali...
Sent from my TECNO BC2 using JamiiForums mobile app
Si uipuuze?Kujikwaa nako ni habari kuandikia uzi?
Hatamie namwona kwa kweli anaweza badili nguo mara tatu kwa siku, yaani kila tukio na nguo nyingine, hongera sana, naona dresser wake yuko makini sana,Mama Samia anajua kuvaa jamani. Hongera zimwendee designer wake.
Mimi huwa najiuliza wale wanawake kwa jinsi wanavyovaa sijui Pembejeo wanaficha wapi yan......hivi wale walinzi wanawake wote wameolewa?
..kuna mmoja mnene-mnene nimemuona.
Nyani Ngabu, YEHODAYA
Na mwenyewe anajijulia, maza wa kishua..anajisitiri lkn bado anaenda na fashion.Hatamie namwona kwa kweli anaweza badili nguo mara tatu kwa siku, yaani kila tukio na nguo nyingine, hongera sana, naona dresser wake yuko makini sana,
Kama ya marehemu mume wake, marehemu mekoUna roho mbayaa
Kabisa mkuu.ni tukio la kawaida sana.sasa kujikwaa nayo Ni habari kweli?Tatizo letu tunawapa ufanisi wa roboti kiutendaji. Hao ni binadamu kama mimi na wewe tu hawana maajabu tunayodanganyana kila siku.
Sio yeye tu na mwingine mkubwa ametaka kujikwaa nyuma yake.
hahahaaHivi kulikuwa na sababu gani hii sherehe kuanza saa tisa mchana wakati wa juakali, hawakujua kuwa mkuu yuko kwenye mfungo wa ramadhani na muda ule swaumu itakuwa imemkaba! kuna muda nilimwona anahemea juu juu nikaona kama anataka kukata mawasiliano
Biden alijikwaa na kuanguka kwenye ngazi za Air Force OneMbona Marais hujikwaa
Biden mfano juzi tu hapo
Dada hilo jina lako kwenye ID ni zuri sana sema unaliharibu tu, ni Nuzrat sio NuzulatiUna roho mbayaa