Kajole
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 1,667
- 1,642
Wakuu habari?,leo iringa kuna kioja kimetokea hvyo napenda niwashikishe...kuna mlinzi wa mnara wa mtandao mmoja wa simu ya mkononi jana usiku kama saa 2 hivi ameuzima mnara aulindao kisha kufunga fensi ya mnara huo na kuondoka na funguo hvyo kusababisha kukosekana kwa mawasiliano kwa watu ambao wanapata huduma kupitia mnara huo. Kishakamatwa na polisi ili ahojiwe kwa nini ameamua kufanya hvyo,tutajuzana zaidi. Ok niwatakie kazi njema