Mlinzi Maarufu wa Hayati Dkt Magufuli atua Kibabe Urusi katika Msafara wa Rais Samia. Amekuwa kivutio Mitandaoni wakati akisalimiana na Rais Samia

Mlinzi Maarufu wa Hayati Dkt Magufuli atua Kibabe Urusi katika Msafara wa Rais Samia. Amekuwa kivutio Mitandaoni wakati akisalimiana na Rais Samia


Ndugu zangu Watanzania,

Dunia nzima inaendelea kufuatilia kwa ukaribu sana na kwa umakini wa hali ya juu sana juu ya Ziara ya Mheshimiwa Rais Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Nchini Urussi.

Ambapo vyombo mbalimbali vya Habari Duniani kote vimeonekana kupigana vikumbo kupata taarifa za kila dakika za Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa RAIS Samia ni kiongozi Mwenye ushawishi zaidi Duniani na ambaye amekuwa anafuatiliwa sana mitandaoni na kila sehemu. kutokana na uchapakazi wake na nguvu ya ushawishi aliyonayo kwa sasa .

Sasa kuna kitu cha kuvutia kimetokea katika ziara hiyo ya Mheshimiwa Rais.Ambapo ni kuonekana kwa Mlinzi maarufu Wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli na aliyejizolea umaarufu Mkubwa Duniani kote . kutokana na umakini ,umahiri na uhodari wake katika Suala zima la Ulinzi na Usalama Wa Rais.

Ambapo Mlinzi hiyo ameonekana akiwa Mwenye Tabasamu ,furaha na bashasha pale alipokuwa akisalimiana ana kwa ana na Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu wetu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Ni tukio Ambalo limevutia na kuteka hisia za watu wengi sana Duniani kote . ni tukio ambalo limewakosha watu wengi sana hasa kutokana na ukweli kuwa Mlinzi huyo amekuwa akipendwa , kukubalika na kufuatiliwa na watu wengi sana Duniani kote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Lucas ninaamini kuwa wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu, epuka sana matumizi ya maneno haya kwenye maandiko yako "Watanzania" wewe sio msemaji wa Watanzania usiwazungumzie, Sentensi ya "duniani kote" usipende kuitumia kimaaba, wewe uko Tanzania tu kipimo cha duniani kote unakitoa wapi?
Jifunze na tumia akili yako vizuri.
 
Amepok

Ndugu zangu Watanzania,

Dunia nzima inaendelea kufuatilia kwa ukaribu sana na kwa umakini wa hali ya juu sana juu ya Ziara ya Mheshimiwa Rais Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Nchini Urussi.

Ambapo vyombo mbalimbali vya Habari Duniani kote vimeonekana kupigana vikumbo kupata taarifa za kila dakika za Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha watanzania.

Ikumbukwe ya kuwa RAIS Samia ni kiongozi Mwenye ushawishi zaidi Duniani na ambaye amekuwa anafuatiliwa sana mitandaoni na kila sehemu. kutokana na uchapakazi wake na nguvu ya ushawishi aliyonayo kwa sasa .

Sasa kuna kitu cha kuvutia kimetokea katika ziara hiyo ya Mheshimiwa Rais.Ambapo ni kuonekana kwa Mlinzi maarufu Wa Hayati Dkt John Pombe Joseph Magufuli na aliyejizolea umaarufu Mkubwa Duniani kote . kutokana na umakini ,umahiri na uhodari wake katika Suala zima la Ulinzi na Usalama Wa Rais.

Ambapo Mlinzi hiyo ameonekana akiwa Mwenye Tabasamu ,furaha na bashasha pale alipokuwa akisalimiana ana kwa ana na Mheshimiwa Amiri Jeshi Mkuu wetu Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Ni tukio Ambalo limevutia na kuteka hisia za watu wengi sana Duniani kote . ni tukio ambalo limewakosha watu wengi sana hasa kutokana na ukweli kuwa Mlinzi huyo amekuwa akipendwa , kukubalika na kufuatiliwa na watu wengi sana Duniani kote.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Samia Amepokelewa na waziri wa maendeleo/Uchumi Russia huyo Putin akija na sisi tunampelekea Makonda Airport.
 
Lucas ninaamini kuwa wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu, epuka sana matumizi ya maneno haya kwenye maandiko yako "Watanzania" wewe sio msemaji wa Watanzania usiwazungumzie, Sentensi ya "duniani kote" usipende kuitumia kimaaba, wewe uko Tanzania tu kipimo cha duniani kote unakitoa wapi?
Jifunze na tumia akili yako vizuri.
Na nyie muache tabia ya kutuaminisha kuwa maudenda anayekinukisha nyuma ya nondo anakubalika na watanzania wote..

Ama sivyo tusipangiane cha kuandika humu.
 
Lucas ninaamini kuwa wewe ni mtu mzima mwenye akili timamu, epuka sana matumizi ya maneno haya kwenye maandiko yako "Watanzania" wewe sio msemaji wa Watanzania usiwazungumzie, Sentensi ya "duniani kote" usipende kuitumia kimaaba, wewe uko Tanzania tu kipimo cha duniani kote unakitoa wapi?
Jifunze na tumia akili yako vizuri.
Bila shaka wewe siyo mtanzania ni Mhamiaji Haramu.
 
Kama haka karekbo kamo JF kaje inbox haraka nimekazimikia
😻😻😻😻
Screenshot_20260603-113743.png
 
Kama una hasira sana basi kunywa sumu UFE tu maana huna faida yoyote ile hapa Duniani na hata Mbinguni
Wewe ndio huna faida si unaona hata lumumba wanakutumia kama choo cha stendi, huna kazi huna mbele wala nyuma, unashinda jf kudanga tu 💩💩💩
 
Wewe ndio huna faida si unaona hata lumumba wanakutumia kama choo cha stendi, huna kazi huna mbele wala nyuma, unashinda jf kudanga tu 💩💩💩
Dogo Mimi situmiki na mtu.mimi ni mzalendo. Mimi ni Mwana CCM kindakindaki .Mimi Ni Mfuasi wa Rais wetu Mpendwa na ninayemuunga Mkono RAIS wetu Mpaka Dakika ya Mwisho
 
Back
Top Bottom