Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hapo ni jimbo la Mlimba kitongoji cha Mkuyuni. CCM waliitishia familia ya mgombea wa CHADEMA wa kitongoji jana. Leo Viongozi hao wameripoti kuwa Jana usiku walivamiwa na kujeruhiwa na watu wa CCM.
∆ Tutajibu.
Hii vita CCM hamtoweza.
#virtusNkuna
∆ Tutajibu.
Hii vita CCM hamtoweza.
#virtusNkuna