Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hufahamu chocho za wake za watu, mjini form Six.Labda useme madent,mke gani atakubali akafanyie appointment mlimani city sehem ambayo kila mtu anaenda na hata kama ukiwa mgeni huchukui round unakutana na mtu mnaefahamiana
Malawi wapi??Blantyre au Lilongwe?Hapo ni bongo tz?
Mbona kama malawi!!!
hufahamu chocho za wake za watu, mjini form Six.
Wanawake kibao wanakunjwa parking, unakuta kaja na watoto wapo sinma jamaa anam'micha kwenye gari
Ndio hiyo parking..? Mjengo wenyewe uko wapi?
Nani alitoa ramani..??
Sababu za wewe kuchukia Mlimani City Hizi hapa:Japo nipo karibu na hii sehemu, ila sipendi kwenda hapo. Sijui kwanini.
Namba 5 ndo umemgusa zaidi...1.Huna hela.
2. Huna hadhi ya wanaokwenda pale.
3. Inferiority complex.
4.wivu wa kijinga/ kike.
5.Demu wako aligongewa pale parking.
6. Hujui kingereza, mind you wengi wanaokwenda pale wanaongea ki-beberu.
hakuna lolote ulilopatia hapo.1.Huna hela.
2. Huna hadhi ya wanaokwenda pale.
3. Inferiority complex.
4.wivu wa kijinga/ kike.
5.Demu wako aligongewa pale parking.
6. Hujui kingereza, mind you wengi wanaokwenda pale wanaongea ki-beberu.