Popular Searches from yahoo
UZURI ni kuwa sasa unajulikana uko nchi gani! sio kwa watani zetu jirani!
UZURI ni kuwa sasa unajulikana uko nchi gani! sio kwa watani zetu jirani!
Tatizo serikali yetu bado ina ng'ang'ania wafanyakazi wenye mawazo mgando unaweza ukapaa na tusiambulie kitu wao wapo wapo tu yaani wanatushinda Burundi wao wana sokwe tu katika sekta ya utalii lakini wanaingiza pato kubwa kuliko sisi wenye vivutio kibao.
Ni kweli nimetoka Amsterdam hadi kilimanjaro kwenda Dar watu wote wameshuka kili airport kwa vigeregere baada ya kuambiwa ndo kilimanjaro about 400 wazunguzi.but serikali yetu sijui kama ina mkakati wowote maana kili airport yenyewe ni aibu afadhali hata tulitua usiku!!!!
its true nchi hii ukiwa na mawazo mgando ndo unapendwa na kuwekwa ktk maamuzi muhimu, !