Mlima kilimanjaro kushindwa kwenyemaajabu saba nimeshukuru na nifundisho kwetu sote

Jun 14, 2011
58
18
ndugu zangu inabidi mnivumilie kidogo kwa hili la kufurahia mlima kilimanjaro kushindwa kwenye maajabu saba ya Dunia.<BR>ninafanya hivi kwa nia nzuri kabisa nikizingatia kwamba hii itakuwa fundisho kwetu, tuache tabia ya kuendesha mambo yaumma kibaba na mama sasa tuwape watu wanaoweza majukumu yaliyo nje ya uwezo wetu. nilisikitika sana kuona mama kikwete akikabidhiwa jukumu la kuhamasisha watu kuupigia mlima kilimajaro kura nikajua hapatakuwepo na ufanisi wowote. leo tuna watu wanaoheshimika na kusikilizwa kama kamanda mbowe, lema,zitto dr slaa na wale wote wenye hamasa katika jamii wangeweza kusimama na kuhamasisha na zoezi hili Hakukuwa na sababu ya kumtumia mtu kama mama Kikwete kwasababu hana mamlaka yeyote na sisi kama watanzania hatumjui na wala hatujawahi kumchagua katika nafasi yoyote na ndiye katuletea gundu tukashindwa kwenye kimyang'aanyiro cha maajabu saba ya dunia
 
Saa zingine wanatufanya tukose hata uzalendo, eti naambiwa kuwa nitume sms kwa kulipia ilihali wenzetu tuliokuwa tunasindanishwa waliruhusu mitandao yao ya maoni kutuma bure, ingawa kulikuwa na utumaji wa internet moja kwa moja lakini ujiulize leo watanzania wanangapi wanaoweza kutuma kwa kupitia hii njia
 
Kwa hilo nitatofautiana na wewe kwanza kwa kushindwa binafsi imeniuma ila uzalendo haukuwepo binafsi nilifanya kampeni kwa kutengeneza tangazo lililokwenda nchi sita za africa mashariki lakini serikali ya ccm haikunipa support yoyote hii imeniuma!
 
hii ishu ilianza tangu mwaka 2009 matokeo yake, Wizara ya Maliasili imekuja kuanza kututangazia mwaka huu mwezi wa 6. Kama uhamasishaji ungeanza toka mwaka 2009 tungefanikiwa kuwepo katika maajabu saba ya dunia. Lakini kwa serikali yetu ya kisela sela hii ndio maana tumeangukia pua.
 
ndugu zangu inabidi mnivumilie kidogo kwa hili la kufurahia mlima kilimanjaro kushindwa kwenye maajabu saba ya Dunia.<BR>ninafanya hivi kwa nia nzuri kabisa nikizingatia kwamba hii itakuwa fundisho kwetu, tuache tabia ya kuendesha mambo yaumma kibaba na mama sasa tuwape watu wanaoweza majukumu yaliyo nje ya uwezo wetu. nilisikitika sana kuona mama kikwete akikabidhiwa jukumu la kuhamasisha watu kuupigia mlima kilimajaro kura nikajua hapatakuwepo na ufanisi wowote. leo tuna watu wanaoheshimika na kusikilizwa kama kamanda mbowe, lema,zitto dr slaa na wale wote wenye hamasa katika jamii wangeweza kusimama na kuhamasisha na zoezi hili Hakukuwa na sababu ya kumtumia mtu kama mama Kikwete kwasababu hana mamlaka yeyote na sisi kama watanzania hatumjui na wala hatujawahi kumchagua katika nafasi yoyote na ndiye katuletea gundu tukashindwa kwenye kimyang'aanyiro cha maajabu saba ya dunia
maajbu huwa hapigiwi kurakama yapo yapo 2,,kuna ulazima wowote wa maajabu kuwa 7,,hata kama yawe 100 yote n maajabu 2,, hata hivyo wangeshinda pesa zote za utalii zinaliwa na mafisadi wa magamba kwani mbali na hilo 2na utajiri mwingi sana ambao unaliwa na magamba,,
 
Back
Top Bottom