Tz boy 4tino
JF-Expert Member
- Sep 14, 2014
- 1,598
- 1,816
Mlima Kilimanjaro kuendelea kutangazwa upo Kenya na serikali ya Kenya/raia wa Kenya, Nani alaumiwe? Nini kifanyike?
Je ni uzembe wa wahusika kutotangaza vivutio vyetu?
Ni uzembe wa viongozi wetu kutolichukulia hili swala kwa uzito unaostahili?
VIONGOZI WETU KUKOSA UZALENDO NA RASILIMALI ZA TAIFA?
Nini kifanyike ?.
Serikali iichukulie hatua kali serikali Kenya ?..
Serikali iuunde kamati maalumu kuzishtaki website/taasisi zote zinazotoa taarifa za uongo kuhusu mlima wetu ? ..
Tuwaache Wakenya waendelee kufaidi matunda ya mlima Kilimanjaro?.
Je na sisi Watanzania tuanze kampeni ya kutangaza vivutio vya Kenya vipo nchini kwetu ?.
Tuwaache Wakenya waendelee onekana wapuuzi na wajinga kwa kudanganya watu 21st century ambapo Dunia imekuwa kama kijiji na kila taarifa legitimate zaweza patikana mtandaoni, Watalii wengi huandaa safari zao kuputia mitandaoni ?.
N.B: kuna travelin agency nyingi Nairobi zilizo na website zao zijulukanazo kimataifa na huchukua watalii na kupeleka kwenda kupanda mlima Kilimanjaro..
Tufunge mpaka eneo linapakana na mlima Kilimanjaro kudhibiti watalii kutokea Kenya na kuingia moja moja mlima Kilimanjaro pamoja na kuweka ulinzi mkali?..
REJEA , HISTORIA ;
Mlima Kilimanjaro umekuwepo nchini Tanzania tangu ukoloni wa mjerumani.
Kuna imani ya kwamba mlima huo ulikuwa Kenya na malkia Elizabeth wa Uingereza aliukabidhi kwa Wilhem aliyekuwa Prince wa Germany OestAfrika (Tanganyika, Rwanda, Burundi ) hilo sio kweli.
Mlima Kilimanjaro haujawahi kuwa Kenya bali hizo ni propaganda za baadhi ya watu wa Kenya kuhalalisha wizi wao.
Hadi kipindi hicho kulikuwa hamna nchi inayoitwa Tanganyika wala Kenya kulikuwa na makabila tu na jamii za kifalme tu, kutbitisha hilo tazama Wachagga/Wapare na watu wa upande wa pili wa Kenya hawafanani hata kidogo(muonekano, tabia). MLIMA KILIMANJARO HAUJAWAHI KUWA KENYA.
MUHIMU ;
~Ushindani wa kibiashara kativya Kenya na Tanzania upo kwa muda mrefu na Duniani kote lakini upotoshaji wa taarifa hilo swala ni harikubaliki kabisa (politically incorrect )
~Hakuna vivutio vya Kenya vinavyoifaidisha Tanzania mmoja kwa mmoja.
~Ni miezi kadhaa tu iliyopita serikali ya Kenya ilikataa gesi ya Tanzania kwa sababu wanaona Tanzania inafaidika kuuza mitungi pamoja na gesi. Hivyo wao wanataka tuwauzie gesi kupitia Mombasa ili wapate faida ya kuuza gesi yetu kwa kupitia mitungi yao. (Tugawane faida , na tusipate faida total benefit na rasilimali yetu) kwa nini leo watu haohao tunagawana nao faida ya mlima Kilimanjaro ?????.... still scratching my head.
Cc, Watanzania Wazalendo Community
Naomba unisaidie ku share (Kwa Mtanzania yeyote Mzalendo)..
Je ni uzembe wa wahusika kutotangaza vivutio vyetu?
Ni uzembe wa viongozi wetu kutolichukulia hili swala kwa uzito unaostahili?
VIONGOZI WETU KUKOSA UZALENDO NA RASILIMALI ZA TAIFA?
Nini kifanyike ?.
Serikali iichukulie hatua kali serikali Kenya ?..
Serikali iuunde kamati maalumu kuzishtaki website/taasisi zote zinazotoa taarifa za uongo kuhusu mlima wetu ? ..
Tuwaache Wakenya waendelee kufaidi matunda ya mlima Kilimanjaro?.
Je na sisi Watanzania tuanze kampeni ya kutangaza vivutio vya Kenya vipo nchini kwetu ?.
Tuwaache Wakenya waendelee onekana wapuuzi na wajinga kwa kudanganya watu 21st century ambapo Dunia imekuwa kama kijiji na kila taarifa legitimate zaweza patikana mtandaoni, Watalii wengi huandaa safari zao kuputia mitandaoni ?.
N.B: kuna travelin agency nyingi Nairobi zilizo na website zao zijulukanazo kimataifa na huchukua watalii na kupeleka kwenda kupanda mlima Kilimanjaro..
Tufunge mpaka eneo linapakana na mlima Kilimanjaro kudhibiti watalii kutokea Kenya na kuingia moja moja mlima Kilimanjaro pamoja na kuweka ulinzi mkali?..
REJEA , HISTORIA ;
Mlima Kilimanjaro umekuwepo nchini Tanzania tangu ukoloni wa mjerumani.
Kuna imani ya kwamba mlima huo ulikuwa Kenya na malkia Elizabeth wa Uingereza aliukabidhi kwa Wilhem aliyekuwa Prince wa Germany OestAfrika (Tanganyika, Rwanda, Burundi ) hilo sio kweli.
Mlima Kilimanjaro haujawahi kuwa Kenya bali hizo ni propaganda za baadhi ya watu wa Kenya kuhalalisha wizi wao.
Hadi kipindi hicho kulikuwa hamna nchi inayoitwa Tanganyika wala Kenya kulikuwa na makabila tu na jamii za kifalme tu, kutbitisha hilo tazama Wachagga/Wapare na watu wa upande wa pili wa Kenya hawafanani hata kidogo(muonekano, tabia). MLIMA KILIMANJARO HAUJAWAHI KUWA KENYA.
MUHIMU ;
~Ushindani wa kibiashara kativya Kenya na Tanzania upo kwa muda mrefu na Duniani kote lakini upotoshaji wa taarifa hilo swala ni harikubaliki kabisa (politically incorrect )
~Hakuna vivutio vya Kenya vinavyoifaidisha Tanzania mmoja kwa mmoja.
~Ni miezi kadhaa tu iliyopita serikali ya Kenya ilikataa gesi ya Tanzania kwa sababu wanaona Tanzania inafaidika kuuza mitungi pamoja na gesi. Hivyo wao wanataka tuwauzie gesi kupitia Mombasa ili wapate faida ya kuuza gesi yetu kwa kupitia mitungi yao. (Tugawane faida , na tusipate faida total benefit na rasilimali yetu) kwa nini leo watu haohao tunagawana nao faida ya mlima Kilimanjaro ?????.... still scratching my head.
Cc, Watanzania Wazalendo Community
Naomba unisaidie ku share (Kwa Mtanzania yeyote Mzalendo)..
Attachments
-
Screenshot_20170905-140515.png320 KB · Views: 72
-
Screenshot_20170905-140135.png96.4 KB · Views: 66
-
Screenshot_20170905-135930.png137.4 KB · Views: 72
-
Screenshot_20170905-135920.png68.3 KB · Views: 64
-
Screenshot_20170905-135842.png190.3 KB · Views: 80
-
Screenshot_20170905-135831.png97.2 KB · Views: 66
-
Screenshot_20170905-134946.png93.6 KB · Views: 70
-
Screenshot_20170905-134216.png210.4 KB · Views: 68
-
Screenshot_20170905-134149.png46.6 KB · Views: 65