Mlikuwa mkiitaje enzi zenu?

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Feb 4, 2009
74,736
155,419
68000_381609655253086_1445881477_n.jpg
 
Dah! nakumbuka Tabora! Enzi nacheza kama centre forward , kwenye kombe la kuku, na udhamini wa kupata tango kutoka kwa diwani Lugembe Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.
 
Jamani mmenikumbusha marehemu rafiki yangu, alikua akipenda sana huu mchezo, alikua akitoroka shule akacheze mpira na kila alipotembea alitemebea na mpira wake, yaani vidole vya miguu vyote vilikua vimechakaa kwa vidonda tulikua tunaita kupiga ndole; alikua na interest mbili, mpira na magari na kwelia alikuja kuwa fundi magari baada ya kumaliza darasa la saba kwa bahati mbaya sana siku ambayo ndio alikwenda Tanga kukabidhiwa Canter awe dereva ndio siku hio alipata ajali na kufa papo hapo.

Yaani hakuweza kuiona ndoto yake tena, it was so pianful, pumzika kwa Amani
 
Back
Top Bottom