Tojo
JF-Expert Member
- Dec 25, 2014
- 1,810
- 3,087
Hata kama hakuna access ya kutoa hela mlevi hakosagi mbinu ya kupata hela ya kunywa kama ameishiwa atapambana hadi apate ya kukidhi haja yake.Duh pombe noma labda uende kunywa sehemu isiyo na access kabisa ya kutoa hela