Risasi simerindima nmb tawi la sokoni baada ya mtu anadhaniwa kalewa kuleta furugu ndani ya benk ya nmb ndipo masikari wanalinda benk hiyo walipo mkamata baada yakukamatwa alianza kungangana nao kutaka kuwanynganya bunduki nawatu kuanza kusogelea ndipo masikari hao walipohamua kupiga risasi juu ilikutawanya raia hadi ffu wanaingia taruki bado ilikuwa ikiendelea huku baadhi ya watu wakihizi niwezi wmejidai kuwa wamelewa