Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
Mwigizaji wa bongo Movie, Yusuph mlela ameendelea kusisitiza kwamba hana bifu lolote na mwimbaji Ney wa Mitego na kwamba aliamua kumchana kipindi kile kwa sababu aliingilia kazi zao bongo muvi.
Sisi tuliandamana ili kuweka maslahi sawa na wengine lakini yeye akaanza kuongea mambo yake yasiyo na maana.- Yusuph Mlela.
Sisi tuliandamana ili kuweka maslahi sawa na wengine lakini yeye akaanza kuongea mambo yake yasiyo na maana.- Yusuph Mlela.