Mlango umefungwa hakujawahi kuwepo na safari ya mwezini

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,152
10,862
Mwenyezi ni Mkubwa na daima uwongo hauwezi kukaa juu ya ukweli,
Gwiji mkuu wa teknolojia na safari za anga anayejitegema Ellon Musk ambaye pia ni mmiliki wa satelite za space X ameufunga mlango huo baada ya kusema safari ya kwenda mwezini mwaka 1969 ilikuwa ni kitu kisicho cha kawaida na ni kama kuishi muda wa mbele ambao mtu hajaufikia au kurudisha muda nyuma teknolojia ambazo hazijafikiwa.

Baada ya fedheha hiyo ya karne kwa Marekani gwiji huyo amesema yeye kwa sasa anayo teknolojia ya kufika huko na kwamba sasa tutakwenda mwezini na tayari ameshaunda chombo chenye uwezo wa kubeba mpaka tani 100 kupeleka mwezini. Baada ya kukamilika na matayarisho madhumuni ni kujenga mji maalum wa kitalii huko mwezini.

f166c52b55bd8b38bb6cd96ceade8943
 
Mwaka 1969 Neil Armstrong binadamu wa kwanza kuweka mguu wake wa kushoto katika ardhi ya mwezi.Voyager 2 chombo kilochosafiri umbali mrefu zaidi hadi kutoka nje ya mfumo wa jua na kupiga selfie ya solar system baada ya kuwa safarini kwa zaidi ya miaka 40!
 
Mbona unazungumza vitu visivyolingana.
Helios 2 chombo chenye kasi zaidi kuwahi kuundwa kikiwa na mwendokasi wa 252,800 km/h kiliundwa mahsusi kuchunguza mfumo wa jua.Voyager 2 kilifanikiwa kupita karibu kabisa na sayari ya Jupiter na kupiga picha, pamoja na picha ya dunia nje ya mfumo wa jua maarufu kama pale blue dot.Science never lie, Kama yote haya yamewezekana mpaka kutoka nje ya mfumo wa jua milions of kilometres, sembuse hapo mwezini iwe uongo?
 
Mwaka 1969 Neil Armstrong binadamu wa kwanza kuweka mguu wake wa kushoto katika ardhi ya mwezi.Voyager 2 chombo kilochosafiri umbali mrefu zaidi hadi kutoka nje ya mfumo wa jua na kupiga selfie ya solar system baada ya kuwa safarini kwa zaidi ya miaka 40!

Unajua umeandika urojo, elimu ya anga naona imekupiga chenga sana bila kujijua unasema nn, Eti kutoka nje ya mfumo wa jua, you meant outside of our solar system? Kuwa makini ukiandika kitu huku, la sivyo nakuweka kundi moja na Std 7 Dr feki Msukuma
 
Mjinga kweli wewe, Unadhani kiingereza ndiyo lugha ya kisomi 😀 kwa taarifa yako msomi na mtu anayeelewa mambo ni yule anayeweza kuelezea jambo gumu (complex) katika lugha nyepesi ambayo hata mtoto wa darasa la nne ataelewa, Ukiambiwa galaksi ya njia ya maziwa maana yake ni 'Milk way galaxy' sasa ulivyo mjinga kama hayo mambo madogo hauelewi nikianza kukuelezea mambo magumu ya cranium-splintering na matter-antimatter quantum asymmetry si ndiyo utakufa 😀
Unajua umeandika urojo, elimu ya anga naona imekupiga chenga sana bila kujijua unasema nn, Eti kutoka nje ya mfumo wa jua, you meant outside of our solar system? Kuwa makini ukiandika kitu huku, la sivyo nakuweka kundi moja na Std 7 Dr feki Msukuma
 
Helios 2 chombo chenye kasi zaidi kuwahi kuundwa kikiwa na mwendokasi wa 252,800 km/h kiliundwa mahsusi kuchunguza mfumo wa jua.Voyager 2 kilifanikiwa kupita karibu kabisa na sayari ya Jupiter na kupiga picha, pamoja na picha ya dunia nje ya mfumo wa jua maarufu kama pale blue dot.Science never lie, Kama yote haya yamewezekana mpaka kutoka nje ya mfumo wa jua milions of kilometres, sembuse hapo mwezini iwe uongo?
Umekariri matakataka mengi sana ambayo hayakusaidii
 
nilikuwa mpenzi sasa wa mambo ya anga lakin NASA walivo sema wameiona yelusalemu kwenye space heri mfia dini wenda wavo sema ni flat si flat tunayo maanisha ss ni disc ya milkway.

Taarifa sahihi ya space zipo lakin sio kutoka NASA, NASA NI WAHUNI
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom