Mkwe mtarajiwa!!!

Mama Mdogo

JF-Expert Member
Nov 21, 2007
2,961
2,138
Jamani, mmoja wa mabinti / shangazi zangu kaja kumtambulisha mchumba wake kwangu uli nitoe baraka (unajua Shangazi ni mtu muhimu sana ktk suala la kuhalalisha uchumba) ili baadaye ukoo ujulishwe. Ile kumuona tu moyo wangu umemkataa, na nimewatimua, kama mume matarajiwa ndiye huyo, afadhali mwanangu asiolewe. Sababu: Mchumba ana muonekano wa kibabe, anaweza niulia binti yangu bure. Ebu nanyi mujionnee halafu minieleze kama hatua niliyochukua ni nzuri ili kunusuru future ya binti yangu.


Mbombo gafu.jpg
 
Muonekano unadanganya.

Unaweza kumkataa Shwaziniga wetu hivi hivi. Mfikirie kama mtu mwenye discipline kubwa sana. Si kila mtu anaweza kufanya mazoezi na kuwa fit hivyo.

Kuna kaka yetu mmoja alikuwa anapiga chuma vibaya sana, halafu hata si mtu wa fujo wala ubabe. Kinadada walimuita "Gentle Giant".

Usimhukumu mtu kwa jinsi anavyoonekana. Mpe nafasi umjue.

Besides, ndo kashapendwa.Si ustaarabu kukataa mtu aliyependwa kwa sababu ziso msingi.

Unaweza kusababisha matatizo makubwa. Binti kakuheshimu kukupa intro, na wewe muheshimu kwamba anaweza kufanya uamuzi mzuri. Ma binti wa siku hizi ungeweza kusikia kaolewa kwenye redio mbao tu.

Zaidi ya misuli kitu gani kinakufanya ufikiri atakuulia binti? Pengine ndo mzuri kuweza kumtetea binti asichezewe shere na wahuni.
 
Binti ana bahati sana maana hapo ulinzi ni full,kwa kifupi naona yuko kwenye mikono salama
 
Umeongea naye na kuweza kumjua zaidi au umehitimisha tu kuwa hafai kwa kuangalia muonekano wake wa nje?
 
Binti ana bahati sana maana hapo ulinzi ni full,kwa kifupi naona yuko kwenye mikono salama

Asante kwa ushauri, lakini hiyo sura changanya na hiyo misuli na mavazi, moyo wangu umebutuka!!!
 
Unahukumu kitabu kwa cover yake? Kama amekuja ukweni akiwa amevaa hivyo basi ni ushamba wa bintiyo tu. Ungempokea na kumkaribisha upate kumfahamu. Na uongee na bintiyo, kuwa mwenza wake anam-define na yeye. Kama ambavyo yeye hawezi kwenda ukweni na leghings na spagheti top, basi amsaidie mwenzie ajue kuvaa accordingly. Watu wa hivi sio wakorofi kwa sababu wana nguvu nyingi ambazo hawataki kuzipoteza bure.
 
Hahahahaaa lol! mama mdogo kumbe unaogopa misuli eeh! lol!...binti ataamua kutoroka na jamaa yake kwa raha zao na nyie akina shangazi mtabaki mnang'aa macho.
 
usiangalie umbo na sura ya mtu angalia tabia je inakidhi kua na binti yako sasa kwa mara ya kwanza 2 kumuona umeisha mtoa baluuu shangazi wewe utakua una gubuu la uzeeni
 
Jamani, mmoja wa mabinti / shangazi zangu kaja kumtambulisha mchumba wake kwangu uli nitoe baraka (unajua Shangazi ni mtu muhimu sana ktk suala la kuhalalisha uchumba) ili baadaye ukoo ujulishwe. Ile kumuona tu moyo wangu umemkataa, na nimewatimua, kama mume matarajiwa ndiye huyo, afadhali mwanangu asiolewe. Sababu: Mchumba ana muonekano wa kibabe, anaweza niulia binti yangu bure. Ebu nanyi mujionnee halafu minieleze kama hatua niliyochukua ni nzuri ili kunusuru future ya binti yangu.



" First impression is the best impression" Umefanya vizuri kumtimua kwani kama yeye alijua kuwa anakuja kutambuliswa kwa nini alivaa hivyo?!!!!!!!!!!. Naungana nawe katika hili.

Mimi wakati naenda kutambulishwa kwa mara ya kwanza wife alipanga nivae nini na vitu vingine vingi in advance
 
" First impression is the best impression" Umefanya vizuri kumtimua kwani kama yeye alijua kuwa anakuja kutambuliswa kwa nini alivaa hivyo?!!!!!!!!!!. Naungana nawe katika hili.

Mimi wakati naenda kutambulishwa kwa mara ya kwanza wife alipanga nivae nini na vitu vingine vingi in advance[/QUOTE

Impression...........impression........hivi kuna harusi inafungwa bila nguo smart???? Mbona baada ya hapo ni matusi magumi na kashfa ndani ya baadhi ya ndoa.......impression ya mwanzo ilikuwaje kwa ndoa zenye dhahma na zilizovunjika?????

So kama mkeo asingekuchagulia wewe hukuwa na plan???? .......ukiitwa mbulullah for that hukuwa unajua hata jinsi ya kuvaa ukienda ukweni na yeye mkeo ndo kakutoa tunduni utakuwa mkali????

Je kama na yeye hayo mavazi alichaguliwa na mkewe mtarajiwa????

Shangazi alichemka kumtimua mara ya kwanza........angeweza kuwaambia that day hajisikii vizuri hivyo wakutane sehemu nyingine on other day then angeona zaidi


Vipi kama angekuja well dressed (subjectively) on that day halafu kumbe huko mitaani yeye hutembea hovyo na ni mtukanaji mzuri.......mshinda bar ....kulala club na mengineyo......???????
 
Back
Top Bottom