Mama Mdogo
JF-Expert Member
- Nov 21, 2007
- 2,961
- 2,138
Jamani, mmoja wa mabinti / shangazi zangu kaja kumtambulisha mchumba wake kwangu uli nitoe baraka (unajua Shangazi ni mtu muhimu sana ktk suala la kuhalalisha uchumba) ili baadaye ukoo ujulishwe. Ile kumuona tu moyo wangu umemkataa, na nimewatimua, kama mume matarajiwa ndiye huyo, afadhali mwanangu asiolewe. Sababu: Mchumba ana muonekano wa kibabe, anaweza niulia binti yangu bure. Ebu nanyi mujionnee halafu minieleze kama hatua niliyochukua ni nzuri ili kunusuru future ya binti yangu.