Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
Naona umeishia tu kusema hakuwa mtu mweusi bila hata kusema ni kwanini unasema hakuwa mtu mweusi......Nabii Yusuf (AS) hakuwa mtu mweusi. Alikuwa ni Myahudi wa Kaanani na baba yake alikuwa Nabii Yakub ambaye ndiye mwasisi wa kabila la Israel (AS).
Mimi nimekueleza kuwa likuwa mtu mweusi,Wayahudi walikuwa weusi,Waisraeli walikuwa weusi,Ibrahimu alikuwa mweusi n.k.....
Nitakupa swali dogo sana,Je, Wamisri kabla ya ukoloni walikuwa watu wa rangi gani?