Mkuu wetu wa nchi anajitahidi sana kutafuta lakini...

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
931
Kwa kweli Mkuu wetu wa nchi anajitahidi sana kutafuta wawekezaji toka nchi mbalimbali kuja kuwezeza Nchini Tanzania. haieleweki kikwazo nini. AKiwa nchini Brazil, mwezi Aprili, 2012 Mhe. Rais alitembelea na kuongea na Chama Cha wafanyabiashara na Wawekezaji wa nchi hiyo,na kama kawaida walieleza maeneo ya vivutio lukuki vya uwekezaji, lakini ya furahisha ni hii ya kutembelea kiwanda cha kutengeneza ndege na kuwaomba walisaidie shirika la ndege la Tanzania (ATC) kupata ndege mpya....(khaaa, mkuuu!!!, kivipi?)

Hivi kwa nini tanzania panafaa kwa uwekizaji?

(i) Kuna amani na utulivu

(ii) kuna watu zaidi ya 40milioni

(iii) Tanzania mwanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na bado majadiliano bado yanaendelea kuyafikia masoko ya kimataifa ikiwamo Marekani na nchi za Ulaya ambako tunapeleka kila kitu tunachozalisha isipokuwa Silaha.
 
ukiona baba amefikia kuzunguka kijijini na kuwanadi mabinti zake kuwa ni wazuri wakarimu na hata wanajua mapenzi kwa hiyo vijana waje kuoa ujue kuna shida na si ndogo.
dunia ni kijiji ukiweka mazingira mazuri hakuna haja ya kwenda ulaya kwa mabilioni ili kuwatangazia waje kuiba mali za uma.
kila siku watanzania wanakimbilia china ni lini rais wa china alizunguka ulimwenguni kuwaambia waende china kununua bidhaa zao?
hapa tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe.
mwalimu walimjia kwenye madini na kutaka kumpa15% akakataa leo mmeenda kuwaita wanawapa 3%
hiyo akili matope?
 
Hata wao wanajiuliza hizo fursa anazotuambia kwa nini wananchi wake hawazitumii?
 
ukiona baba amefikia kuzunguka kijijini na kuwanadi mabinti zake kuwa ni wazuri wakarimu na hata wanajua mapenzi kwa hiyo vijana waje kuoa ujue kuna shida na si ndogo.
dunia ni kijiji ukiweka mazingira mazuri hakuna haja ya kwenda ulaya kwa mabilioni ili kuwatangazia waje kuiba mali za uma.
kila siku watanzania wanakimbilia china ni lini rais wa china alizunguka ulimwenguni kuwaambia waende china kununua bidhaa zao?
hapa tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe.
mwalimu walimjia kwenye madini na kutaka kumpa15% akakataa leo mmeenda kuwaita wanawapa 3%
hiyo akili matope?
Kamati ya akina Zitto walipambana wakapata hapo ka 1% zaidi kakawa 4%. mikataba imekaa kama green mamba, ukigusa tu unapigwa neuro toxic unahesabiwa dakika na unasahau kuamka milele!
Ipo kazi hapa!
hata demu ukimbembeleza sana lazima kuwe na 'attached strings". masharti kibao na lazima akupige changa la macho.
both parties should have a win win situation, otherwise temena nayo. in JK situation, it is a win lose situation, and he thinks in terms of how many investors are in rather than what we get from our resources that are exploited.
inasikitisha!
 
mimi nafikiri kuna kila sababu ya kufanya mabadiliko katika secta ya uwekezaji na hata sheria zinazosimamia.mi sioni kama uwekezaji tatizo sana kwani kama rasilimali tunazo halafu tunashindwa kuzitumia kwa manufaa wa wenyenchi ni bora tuwape watu(wawekezaji)waziendeshe kwa kutulipa.tatizo kubwa sana katika nchi zetu za kiafrika hakuna uongozi bora na ndio mana wawekezaji wengi wanatuibia tunabaki tunawaangalia hakuna cha kuwafanya kutokana na sheria zetu za kikenge.
kunasababu gani ya kuuziwa ndege ambazo zimetumika?kwani uwezo wa kununua mpya hatuna?mbona wenzetu wakenya wanaweza na rasilimali tumewazidi..............anyway someni waungwana kisha tafakarini kwani nikiwagusia wakenya naumia sana na kukosa uzalendo-wanachokifanya sasa hivi kwenye nchi hii na tunajivunia eti kuwa kwenye shirikisho la afrika mashariki wakati bado tunalaa tena usingizi kwelikweli-wasomaji wa gazeti la "Afrika mashariki"linalotoka kila jumamosi na kusambazwa jpili mtakubaliana nami(someni hili gazeti linalohusu habari za afrika mashariki kiuchumi,siasa,utamaduni na michezo).kama hatubadiliki kimtazamo,itikadi na kujishughulisha zaidi na shughuri za maendeleo-we will never change for the next 50 years and be slaves in our own land-working for our lovely neighbours.
 
ukiona baba amefikia kuzunguka kijijini na kuwanadi mabinti zake kuwa ni wazuri wakarimu na hata wanajua mapenzi kwa hiyo vijana waje kuoa ujue kuna shida na si ndogo.
dunia ni kijiji ukiweka mazingira mazuri hakuna haja ya kwenda ulaya kwa mabilioni ili kuwatangazia waje kuiba mali za uma.
kila siku watanzania wanakimbilia china ni lini rais wa china alizunguka ulimwenguni kuwaambia waende china kununua bidhaa zao?
hapa tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe.
mwalimu walimjia kwenye madini na kutaka kumpa15% akakataa leo mmeenda kuwaita wanawapa 3%
hiyo akili matope?

duh.! Inauma sana Mwalimu alikataa 15% sisi tumekubali 3%...mda mwingine ni bora ubaki gizani usijue nchi inavyoliwa na wenye meno tena kwa kubembelezwa na watawala wetu.!
 
ukiona baba amefikia kuzunguka kijijini na kuwanadi mabinti zake kuwa ni wazuri wakarimu na hata wanajua mapenzi kwa hiyo vijana waje kuoa ujue kuna shida na si ndogo.
dunia ni kijiji ukiweka mazingira mazuri hakuna haja ya kwenda ulaya kwa mabilioni ili kuwatangazia waje kuiba mali za uma.
kila siku watanzania wanakimbilia china ni lini rais wa china alizunguka ulimwenguni kuwaambia waende china kununua bidhaa zao?
hapa tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe.
mwalimu walimjia kwenye madini na kutaka kumpa15% akakataa leo mmeenda kuwaita wanawapa 3%
hiyo akili matope?

Heshima yako mkuu..we ni jembe
 
ukiona baba amefikia
kuzunguka kijijini na kuwanadi mabinti zake kuwa ni wazuri wakarimu na
hata wanajua mapenzi kwa hiyo vijana waje kuoa ujue kuna shida na si
ndogo.
dunia ni kijiji ukiweka mazingira mazuri hakuna haja ya kwenda ulaya kwa
mabilioni ili kuwatangazia waje kuiba mali za uma.
kila siku watanzania wanakimbilia china ni lini rais wa china alizunguka
ulimwenguni kuwaambia waende china kununua bidhaa zao?
hapa tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe.
mwalimu walimjia kwenye madini na kutaka kumpa15% akakataa leo mmeenda
kuwaita wanawapa 3%
hiyo akili matope?

Inasikitisha sana mwalimu alikuwa mzalendo namba1 ndio maana wakala njama za kummaliza!

Then huyu cha nazi anahangaika tu..hajui hata afanye nini! Kwani wawekezaji ndio watakao shusha mfumuko wa bei? Na kuondoa shida zetu?
 
ukiona baba amefikia kuzunguka kijijini na kuwanadi mabinti zake kuwa ni wazuri wakarimu na hata wanajua mapenzi kwa hiyo vijana waje kuoa ujue kuna shida na si ndogo.
dunia ni kijiji ukiweka mazingira mazuri hakuna haja ya kwenda ulaya kwa mabilioni ili kuwatangazia waje kuiba mali za uma.
kila siku watanzania wanakimbilia china ni lini rais wa china alizunguka ulimwenguni kuwaambia waende china kununua bidhaa zao?
hapa tunajikaanga kwa mafuta yetu wenyewe.
mwalimu walimjia kwenye madini na kutaka kumpa15% akakataa leo mmeenda kuwaita wanawapa 3%
hiyo akili matope?

Well said mkuu wala hujakosea hata nukta na hapo ndipo inatudhihirishia anasafiri kwakuwa anapenda sana kusafiri!
 
Kamati ya akina Zitto walipambana wakapata hapo ka 1% zaidi kakawa 4%. mikataba imekaa kama green mamba, ukigusa tu unapigwa neuro toxic unahesabiwa dakika na unasahau kuamka milele!
Ipo kazi hapa!
hata demu ukimbembeleza sana lazima kuwe na 'attached strings". masharti kibao na lazima akupige changa la macho.
both parties should have a win win situation, otherwise temena nayo. in JK situation, it is a win lose situation, and he thinks in terms of how many investors are in rather than what we get from our resources that are exploited.
inasikitisha!

Alafu watakuambia huyu mtu mwenye fikra kama hizo amesoma uchumi ninachojiuliza ni uchumi cheti ama uchumi maarifa!?
 
mimi nafikiri kuna kila sababu ya kufanya mabadiliko katika secta ya uwekezaji na hata sheria zinazosimamia.mi sioni kama uwekezaji tatizo sana kwani kama rasilimali tunazo halafu tunashindwa kuzitumia kwa manufaa wa wenyenchi ni bora tuwape watu(wawekezaji)waziendeshe kwa kutulipa.tatizo kubwa sana katika nchi zetu za kiafrika hakuna uongozi bora na ndio mana wawekezaji wengi wanatuibia tunabaki tunawaangalia hakuna cha kuwafanya kutokana na sheria zetu za kikenge.
kunasababu gani ya kuuziwa ndege ambazo zimetumika?kwani uwezo wa kununua mpya hatuna?mbona wenzetu wakenya wanaweza na rasilimali tumewazidi..............anyway someni waungwana kisha tafakarini kwani nikiwagusia wakenya naumia sana na kukosa uzalendo-wanachokifanya sasa hivi kwenye nchi hii na tunajivunia eti kuwa kwenye shirikisho la afrika mashariki wakati bado tunalaa tena usingizi kwelikweli-wasomaji wa gazeti la "Afrika mashariki"linalotoka kila jumamosi na kusambazwa jpili mtakubaliana nami(someni hili gazeti linalohusu habari za afrika mashariki kiuchumi,siasa,utamaduni na michezo).kama hatubadiliki kimtazamo,itikadi na kujishughulisha zaidi na shughuri za maendeleo-we will never change for the next 50 years and be slaves in our own land-working for our lovely neighbours.

Nadhani tatizo ni la watz wote na siyo viongozi wake pekee, ukitaka kuamini je ni kwanini watz hawachoshwi na hali ya mambo ilivyo na kuikata kwa nguvu serikali iliyoboronga na kushindwa kuiongoza nchi badala ya chama tawala kukaa na kuangali ugumu wa maisha unaowakabili watz waliowapa dhamana badala yake ccm wameamua kukaa vikao wakijadili jinsi ya kuwaadhibu wabunge wa ccm walioonyesha uzalendo wa kumwajibisha waziri mkuu ambalo ni suala lilikuwa na maslahi kwa Taifa linalopoteza mwelekeo kwakuibiwa kila kukicha. Je hiki chama na serikali yake wana malengo gani na nchi yetu?
 
duh.! Inauma sana Mwalimu alikataa 15% sisi tumekubali 3%...mda mwingine ni bora ubaki gizani usijue nchi inavyoliwa na wenye meno tena kwa kubembelezwa na watawala wetu.!

Ndo tatizo la kuweka maslahi mbele!
 
Well said mkuu wala hujakosea hata nukta na hapo ndipo inatudhihirishia anasafiri kwakuwa anapenda sana kusafiri!

Ni kweli kabisa anasafiri kwa kuwa anapenda kusafiri na sio kwenda kuwatafuta wawekezaji kwani watu wenye fedha zao wanapotafuta mahala pa kuwekeza sio lazima kuwabembeleza kwani wao wenyewe wanajua wapi wakiwekeza watapata faida; unapokwenda kuwabembeleza ndio hapo wanapokuwekea mashartu ya kukupa mrahaba wa 3% ambao haukusaidii kuwapa wananchi wako maisha bora!!Weka mazingira mazuri ya kuwekeza kwa wananchi wako ambao wanaweza kutafuta mitaji ama sivyo weke sheria ya kuwa wawekezaji lazima wawe wabia na wananchi na hapo nchi itafaidika badala ya kunyonywa!!
 
Amepita mpaka kwa wawekezaji wa kilimo cha nyanya...kule Iringa nyanya zinaoza kwa kukosa soko la uhakika, eti leo Mr. President anaenda kutafuta wawekezaji wa nyanya toka Brazil
 
Back
Top Bottom