Mkuu wangu wa mkoa wa Tabora punguza utani hasa ukiwa kikaoni wa chini watashindwa kutekeleza uliyotoa

BASIASI

JF-Expert Member
Sep 20, 2010
9,735
5,002
Awali ya yote shikamoo afande WANGU mkuu WANGU WA mkoa

Kiufupi tu nimekusikiliza kwa millardayo NAAMINI akuwepo kikaoni ila kama alikuwepo mwakiloishi nalo jema

Kiufupi naomba nishauri tupunguze utani zaidi hasa pale unapokuwa na watu kama madiwani wakitoka hapo wanatakiwa kutimiza majukumu makubwa ya wananchi
Hawa ukicheka nao vile hata kukiwa na shida utakosa kuwaadhibu mkuu wangu RC

Si hilo angalia ile video hata unapochekesha jamaa wanapiga story zao pembeni kama vile haupo ndani ama unaongelea nje

Vyema vikao vijavyo punguza kidogo viutani ili vijana washindwe kukuelewa na wanapokosea basi wawajibishwe barabara

Otherwise tunàkupenda tunashukuru kwa upendo unaoonyesha juu ya mkoa wetu wa tabora

Mungu akubariki sana
 
Wewe unadhani Tabora inalimwa tumbaku tuu!!!
Huu mjani haujawahi muacha mtu salama.
pic%20bangi.jpeg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom