jmi
JF-Expert Member
- Sep 11, 2015
- 532
- 468
kwa hiyo kajamaa kananing'inia. Kweli bado tuko mbali sanaView attachment 430729hawana tofauti na huyu
kwa hiyo kajamaa kananing'inia. Kweli bado tuko mbali sanaView attachment 430729hawana tofauti na huyu
Dah!ikitokea huyo muheshimiwa akipita humu kwa hizi comments sijui atajisikiaje.
Unataka awanunulie ipi? wewe umeshapeleka unayotaka wapate? wapi ulipeleka?
Hiyp hata wakiipasua haileti uchungu, muhimu waone kinachorushwa.
Vizuri sana itawapa furaha , wawekeeni vipindi vya dini pia.
Ni heri kutopeleka kuliko kupeleka hicho.
Bila shaka wewe utakuwa dc,sasa mheshimiwa dc yaani huo mshahara wa 4.6 m kwa mwezi umeshindwa kutoa laki 3 kununua flat screen ya 24 inchesPelekeni ninyi mnayoon inafaa, msisahau kurusha picha tuone.
"BAVICHA" aka buku saba utawajua tuUlitaka atoe flat screen?kweli wengine mazuzu wa kufikiri
Ndio yale msomaji taarifa ya Habari lazima kuchomeka wasee mnaniona kweli?Duh hiyo Tv ni yakuangalia kwa jicho moja.