Mkuu wa Wilaya ya Temeke, chunguza kampuni ya Wachina inayojenga Mtaro Mkubwa wa Maji ya mvua

Unajua kwenye miradi mingi Tz, unakuta matatizo mengi, ukiangalia kwa jicho la tatu, unakuta either yamechangiwa na poor supervision by Engineer, or bribes, or undeserved, and incapable contractor being awarded a contract!
Kuna kitu nataka kukisema ila roho inakua nzito sana, basi ngoja niisikilize na kuitii sauti ya ndani ila kwa Tanzania hali ni mbaya sana
 
Unajua kwenye miradi mingi Tz, unakuta matatizo mengi, ukiangalia kwa jicho la tatu, unakuta either yamechangiwa na poor supervision by Engineer, or bribes, or undeserved, and incapable contractor being awarded a contract!
Kwa miaka zaidi ya 20, wachina wanahonga kuanzia wanasiasa, ma engineer na hata wasimamizi.
Miaka 20!
 
Back
Top Bottom