Spika wa Bunge Job Ndugai, ameiagiza Serikali kushughulikia madai ya kuwapo kwa mgogoro baina ya Mkuu wa Wilaya ya Chunya na Mkuu wa Wilaya ya Songwe ambaye anadaiwa kificha Makinikia ya wachimbaji wadogo. [HASHTAG]#NIPASHE[/HASHTAG] .
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.