Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
Mkuu wa Wilaya hiyo, Rukia Muwango amesema kuwa walioza zao hilo bila ya kuwa na mashamba wajiandae kisaikolojia kwani hawatolipwa
Zimekuwepo taarifa kuwa wauzaji wa zao hilo wanapaswa kuonesha mashamba walioyovuna Korosho ili walipwe na Serikali
Rais Magufuli alitangaza kuwa Serikali itazinunua Korosho zote kwa bei ya Tsh. 3300 kwa kilo moja
Zimekuwepo taarifa kuwa wauzaji wa zao hilo wanapaswa kuonesha mashamba walioyovuna Korosho ili walipwe na Serikali
Rais Magufuli alitangaza kuwa Serikali itazinunua Korosho zote kwa bei ya Tsh. 3300 kwa kilo moja