IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 3,156
- 3,799
Pole yake, lakini hapo sijaelewa sioni gari ya DC naona toyota Hilux (DSP) na land cruiser (DFP)
Afe harakaJamaa kapiga mzinga Dakawa mkoani Morogoro, ukiangalia maeneo ya Dakawa kuna ajali nyingi kwasababu ya kuovateki kibabeView attachment 1892279
Hivi huwa mna akili za wapi?!Sasa unanilinganisha mimi na mwizi wa kura?Unalinganisha kifo changu na kifo cha mwizi wa kura ambae analinyima Taifa zima haki?!Unaijua sayansi ya kulinganisha vitu?No matter,hata wewe utakufa Tena kifo kibaya Sana kuwaliko unaowatamania wafe,
Shubamiti!!!
Huu ni uzembe wa hali ya juu!!.... Hivi unaanzaje kugongana na gari jingine uso kwa uso wakati unapoendesha unaona mbele yako, kuna alama za barabarani kwenye lami na zile zilizoko wima kwenye mabango?.... Mbaya zaidi ajali inamhusu kiongozi wa wilaya!.MKUU wa wilaya ya Morogoro, Albert Msando amepata ajali maeneo ya Dakawa mkoani Morogoro baada ya gari aliyokuwa amepanda kugongana uso kwa uso na gari jingine dogo.
Ajali hiyo imetokea wakati mkuu huyo wa Wilaya akiwa kwenye msafala wa ziara ya waziri Mkuu uliokuwa unatoka Dakawa kuelekea Morogoro mjini leo Jumamosi, Agosti 14, 2021.
Mkuu wa wilaya pamoja na dereva wake wote wamelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro.
View attachment 1892168
View attachment 1892169
Hakuna kesi hapo. Akifa poa na akiwa kilema ashukuru miungu wake.Itakua gari lake lilitumika na ugeni, hapa tatizo/kesi lipo kwa OCD na RPC kwa uongozaji mbaya wa msafar au Taasisi iliyomuazima gari DC dereva aliyepewa majukumu hana weledi wa kazi za msafara. Kama Mkuu huyo wa Taasisi pia aliombwa aruhusu gari aendeshe dereva mwenye uzoefu akagoma imekula kwake.
Kwa kifupi hapo kuna mtu atasimama kazi
Sijui imekuwaje Israeli akakosa hii Penati..!!?Hawa wezi wa kura wakifa ni jambo la kheri sana.
Kuna na mengine ameyafanya mabaya kuhusu binadamu wenzake. Kwani wao hawakuhitaji hutuma kama hii unaoitia hapa. Kabaya Zaidi wamepumzika. Acha kutetea usichokijuaAlbert ni binadamu kama wewe na ni mwanaume kama wengine
Tofauti ni kwamba yeye anakutana na kina Giggy wakati wewe unakutana na kita Sikuzani
Alishatubu na kuacha na Familia yake ikamsamehe..... usitoneshe vidonda vya watu
Kuna na mengine ameyafanya mabaya kuhusu binadamu wenzake. Kwani wao hawakuhitaji hutuma kama hii unaoitia hapa. Kabaya Zaidi wamepumzika. Acha kutetea usichokijua
Mama akee kwa ubishi huu na kutetea kila mwenye kijani no matter what, Nina uhakika 1000% hata yale maneno aliyoyasema sabaya mahakamani kua alitumwa na muheshimiwa "mungu" nayo unayapinga.Wewe unatetea unachokijua?
Haya, endelea kuhumu wenzio kwa chuki zako
Mama akee kwa ubishi huu na kutetea kila mwenye kijani no matter what, Nina uhakika 1000% hata yale maneno aliyoyasema sabaya mahakamani kua alitumwa na muheshimiwa "mungu" nayo unayapinga.
Pole yakeMKUU wa wilaya ya Morogoro, Albert Msando amepata ajali maeneo ya Dakawa mkoani Morogoro baada ya gari aliyokuwa amepanda kugongana uso kwa uso na gari jingine dogo
Psychologically wewe ulietaja neno stress kwenye haya mazungumzo ndio Una stress. Kwanza bi mdada hata hujui niko nchi gani unasema asubuhi. See where the problem lies?! Au Jf iko Dar pekee na Tandahimba?Acha stress asubuhi asubuhi wewe. Unachofurahia haswa ni Alberto kupata ajali au ni chuki ya kwamba Alberto ni mwana CCM?
Na umuombe Mungu wako akuondolee moyo wa chuki kwa usiyoyajua na ujifunze kutenganisha siasa na utu wa mtu