Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,277
- 9,912
MKUU wa wilaya ya Morogoro, Albert Msando amepata ajali maeneo ya Dakawa mkoani Morogoro baada ya gari aliyokuwa amepanda kugongana uso kwa uso na gari jingine dogo.
Ajali hiyo imetokea wakati mkuu huyo wa Wilaya akiwa kwenye msafara wa ziara ya waziri Mkuu uliokuwa unatoka Dakawa kuelekea Morogoro mjini leo Jumamosi, Agosti 14, 2021.
Mkuu wa wilaya pamoja na dereva wake wote wamelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro.
===
Mkuu wa wilaya ya Morogoro, Albert Msando amepata ajali ya barabarani katika eneo la Dakawa nje kidogo ya Morogoro.
Ajali hiyo ilitokana na gari aliyokuwa amepanda Msando kugongana uso kwa uso na gari nyingine.
Mkuu huyo wa wilaya na dereva wake wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro.
Pia, Soma=> DC Msando na DC mwenzake wahamishiwa Muhimbili kwa matibabu zaidi lakini wako stable!
Ajali hiyo imetokea wakati mkuu huyo wa Wilaya akiwa kwenye msafara wa ziara ya waziri Mkuu uliokuwa unatoka Dakawa kuelekea Morogoro mjini leo Jumamosi, Agosti 14, 2021.
Mkuu wa wilaya pamoja na dereva wake wote wamelazwa katika hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro.
===
Mkuu wa wilaya ya Morogoro, Albert Msando amepata ajali ya barabarani katika eneo la Dakawa nje kidogo ya Morogoro.
Ajali hiyo ilitokana na gari aliyokuwa amepanda Msando kugongana uso kwa uso na gari nyingine.
Mkuu huyo wa wilaya na dereva wake wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Morogoro.
Pia, Soma=> DC Msando na DC mwenzake wahamishiwa Muhimbili kwa matibabu zaidi lakini wako stable!