Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga, Bi. Khadija awaweka ndani Wakuu wa Shule kwa kuchelewa kuanza ujenzi wa vyumba vya madarasa

Wameonewa,hii nchi mtumishi anaenyanyaswa sana ni mwalimu.

Pesa ya ujenzi imetoka wiki 1 imepita,alafu watawala wanataka madarasa yakamilike ndani ya wiki 3.

Sasa hawa walimu walikosa muda wa kufunya maandalizi maana ujenzi wenyewe unakwenda kwa haraka sana,wawape muda walomu

Pesa zenyewe ni za misaada ya corona alafu mnakuja kuwanyanyasa walimu wetu.

Walimu wenyewe wala serikali haiwajali mishahara yao haijaongezwa kwa miaka 5 sasa,watu wanaishi na stress alafu mnawaweka ndani kwa mambo ya kijinga.
Wamepewa siku 30 ujenzi uishe.
 
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga amewakamata na kuwaweka ndani wakuu wa shule 3 za sekondari kwa kuchelewa kuanza ujenzi wa vyumba vya madarasa. Wamewekwa ndani kuanzia tarehe 8/11/2021.

====

UPDATES:

====

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi.Khadija N. Ali, amekanusha taarifa hii kuhusu Mkurugenzi wa Wilaya hiyo Bi. Mwantum Mgonja kuwaweka ndani Walimu wakuu wanaozembea katika kusimamia Ujenzi wa madarasa.

Amesema yeye ndiye aliyeagiza walimu hao kukamatwa na sio Mkurugenzi
Yaani anatetea kushika silaha mkononi!?
 
Yaani anatetea kushika silaha mkononi!?
Mkurugenzi alivyojua amekosea kitaratibu kuwaweka ndani..Mkuu wa Wilaya akaona aseme ni yeye ili amlinde. Ila Leo naomba niwaombe msamaha waliokuwa wanadai katiba mpya halafu nikawaona hawana hoja.
 
Mkurugenzi alivyojua amekosea kitaratibu kuwaweka ndani..Mkuu wa Wilaya akaona aseme ni yeye ili amlinde. Ila Leo naomba niwaombe msamaha waliokuwa wanadai katiba mpya halafu nikawaona hawana hoja.
Huyo mkurugenzi yawezekana, sina hakika, kuna vitu vinamlinda.
 
Hao walimu wamemwambia wana shida ya madarasa kwa sasa, kwa nini wasifanye kwa ratiba yao waliyojiwekea au ndo haraka ya kupiga zile 1.3t
Unajua wtz mnakera,,wakizembea mnasema huyu Samia hafai na wakichukua hatua mnalalamika hivi mkoje nyie wanyonge!!!?
 
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga amewakamata na kuwaweka ndani wakuu wa shule 3 za sekondari kwa kuchelewa kuanza ujenzi wa vyumba vya madarasa. Wamewekwa ndani kuanzia tarehe 8/11/2021.

====

UPDATES:

====

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi.Khadija N. Ali, amekanusha taarifa hii kuhusu Mkurugenzi wa Wilaya hiyo Bi. Mwantum Mgonja kuwaweka ndani Walimu wakuu wanaozembea katika kusimamia Ujenzi wa madarasa.

Amesema yeye ndiye aliyeagiza walimu hao kukamatwa na sio Mkurugenzi
Nadhani ni muhimu watu wajue sheria na kuzifuata na wanaokamatwa kinyume cha sheria, wawe wanafungua kesi za madai inaonekana wazi kwamba ilikuwa ni kinyume cha utaratibu.
 
Walimu wapo busy na mambo ya matokeo na maandalizi ya wanafunzi ninyi jukumu lenu ndio kujenga shule mnawaweka ndani walimu hii sio sawa...mmewaonea bure watoeni walimu wetu yaani walimu kesi zote zao hata watoto kutopelekwa kujiandikisha shule wanapewa kesi Walimu..hii Nchi sijui tulikula maharage ya wapi?
 
Unajua wtz mnakera,,wakizembea mnasema huyu Samia hafai na wakichukua hatua mnalalamika hivi mkoje nyie wanyonge!!!?
Mwalimu ndo injinia hadi umweke ndani kwa kushindwa kukamilika jengo, yaani mwalimu aache kushughulika na taaluma ya wanafunzi akatumie muda wote kujenga madarasa, hovyo kabisa.....
 
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mkuranga amewakamata na kuwaweka ndani wakuu wa shule 3 za sekondari kwa kuchelewa kuanza ujenzi wa vyumba vya madarasa. Wamewekwa ndani kuanzia tarehe 8/11/2021.

====

UPDATES:

====

Mkuu wa Wilaya ya Mkuranga Bi.Khadija N. Ali, amekanusha taarifa hii kuhusu Mkurugenzi wa Wilaya hiyo Bi. Mwantum Mgonja kuwaweka ndani Walimu wakuu wanaozembea katika kusimamia Ujenzi wa madarasa.

Amesema yeye ndiye aliyeagiza walimu hao kukamatwa na sio Mkurugenzi
Kuna kitu sijakielewa katika jenga jenga ya hizo shule za kata sijui za wananchi.mshikaji wangu yupo wilaya hiyo mkuranga ni mwanakiji wa huko.alinipigia akiniambia anataka tuonane nikamwambia nipo mbali kama vipi tuongee tu kwa simu.akatiririka ebhana tunataka utukopeshe hela tujenge msingi wa shule then baada ya wiki 2 tukipewa hela na serikali tutakurudishia hela yako.mmmh nikaanza kuogopa nikamwambia hela sina kwa kuogopa serikali inaweza kuchelewesha tukaanza kuonana wabaya.! Ninachotaka kujua serikali inatoa hela za ujenzi badala ya kuona mshaanza kujenga au mnapewa cash mjenge wenyewe kuanzia msingi.???? Kiufupi utaratibu unakuwa vipi.

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom