Mkuu wa Wilaya ya Mkalama amemfukuza kazi Afisa Afya wa Wilaya kwa makosa ya Ubadhirifu

Kwani wameanza leo. Tangu ma-DC wameanza kusimamisha watumishi kazi umewahi wapi kusikia TUCTA ikilalamika...unadhani TUCTA ni wajinga ila wewe ndio mwelevu? Kama hujui mambo kaa kimya kuliko kuanika upumbavu wako.

Mamlaka hutolewa na sheria. Can u quote for us a proper section that confer a power to the DC to do such a thing
 
Mamlaka hutolewa na sheria. Can u quote for us a proper section that confer a power to the DC to do such a thing

Na mimi nipe kifungu cha sheria kinacho zuia DC kusimamisha mtumishi wa umma anae hudumu katika ngazi ya halmashauri ya wilaya.

Kwa kuwa sheria sio tu inatoa mamlaka...bali pia inaweka mipaka.
 
Na mimi nipe kifungu cha sheria kinacho zuia DC kusimamisha mtumishi wa umma anae hudumu katika ngazi ya halmashauri ya wilaya.

Kwa kuwa sheria sio tu inatoa mamlaka...bali pia inaweka mipaka.

Mkuu mbona hujanisaidia
Swali langu nachoona ume rise issue nyingine

HUWEZI JUA KILA KITU
ALTHOUGH WE'RE IN REASONING ERA
 
attachment.php


Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Christopher Ngubiangai, amemsimamisha kazi Afisa Afya wa Wilaya hiyo, bwana James Ndembo, kwa muda usiojulikana kufuatia wizi wa zaidi ya shilingi milioni 19.

Ngubiangai amemtuhumu Ndembo kwa wizi wa fedha hizo zilizotengwa ili kutoa elimu kwa wananchi juu ya magonjwa yasioambukizwa. Amedai kuwa Ndembo alitoa fedha kiasi cha shilingi 25,151,430 benki na kuzihifadhi kwa mweka hazina wa Manispaa ambapo amekuwa akichukua kiasi cha pesa katika nyakati tofauti kwa ajili ya matumizi binafsi.

Ndembo alijaribu kukimbia lakini amekamatwa na sasa yuko chini ya ulinzi.

Ngubiangai ameonya watumishi wa umma dhidi ya wizi wa fedha za umma, tabia ambayo inakwamisha maendeleo. Amesema watakaobainika kufanya hivyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Mkalama sio manispaa wewe, haraka ya kupost ya nn? Kuna taratibu za kisheria za kimsimamisha mtu kazi, wala DC hahusiki, soma standing order!
 
Kwani wameanza leo. Tangu ma-DC wameanza kusimamisha watumishi kazi umewahi wapi kusikia TUCTA ikilalamika...unadhani TUCTA ni wajinga ila wewe ndio mwelevu? Kama hujui mambo kaa kimya kuliko kuanika upumbavu wako.

We ndo mburura!!!
 
attachment.php


Mkuu wa wilaya ya Mkalama mkoani Singida, Christopher Ngubiangai, amemsimamisha kazi Afisa Afya wa Wilaya hiyo, bwana James Ndembo, kwa muda usiojulikana kufuatia wizi wa zaidi ya shilingi milioni 19.

Ngubiangai amemtuhumu Ndembo kwa wizi wa fedha hizo zilizotengwa ili kutoa elimu kwa wananchi juu ya magonjwa yasioambukizwa. Amedai kuwa Ndembo alitoa fedha kiasi cha shilingi 25,151,430 benki na kuzihifadhi kwa mweka hazina wa Manispaa ambapo amekuwa akichukua kiasi cha pesa katika nyakati tofauti kwa ajili ya matumizi binafsi.

Ndembo alijaribu kukimbia lakini amekamatwa na sasa yuko chini ya ulinzi.

Ngubiangai ameonya watumishi wa umma dhidi ya wizi wa fedha za umma, tabia ambayo inakwamisha maendeleo. Amesema watakaobainika kufanya hivyo watachukuliwa hatua kali za kisheria.

Ni mparaganyiko kila mwenye cheo ana sharubu! Bado Mawaziri kwenye media mtaona vituko sana.
 
MIMI sina mkuu kwa hiyo anaendesha shughuli zake kibora liende.

Mkuu bora liende mbona ni kawaida sana hii nchi. Huwa wanakuja kujitambua pale sheria zinaposomwa. Lakini nami nakiri kutokuwa na kifungu kutoka kwenye katiba.
 
Kwani wameanza leo. Tangu ma-DC wameanza kusimamisha watumishi kazi umewahi wapi kusikia TUCTA ikilalamika...unadhani TUCTA ni wajinga ila wewe ndio mwelevu? Kama hujui mambo kaa kimya kuliko kuanika upumbavu wako.

Watu hawana uzoefu wa kuona mkuu wa wilaya amasimamisha mfanyakazi. Ndiyo maana wanasema sheria haipo. Kuna sheria nyingi ila zimekuwa dormant ndiyo maana watu wanshangaa.
 
Sasa mkurugenzi wa halmashauri na mkuu wa wilaya nani mkubwa? Ni sawasawa na kusema rais hana mamlaka, ila katibu mkuu kiongozi ndio anayo. Acheni upumbavu wa kuzungusha mikono...fanyeni utafiti...wakuu wa mikoa na wilaya ni watu wazito sana TAMISEMI. Hivyo ishu yoyote inayohusu watumishi wa umma katika wilaya au mkoa...ipo chini ya mamlaka ya wakuu wa wilaya na mikoa respectively. Wakuu wa wilaya ndio wawakilishi wa rais katika wilaya husika. Sio nafasi ndogo hii.

Kinacho wakera wengi ni kuona kuwa wakuu hao wa wilaya na mikoa ni makada wa CCM...mmesahau kuwa hata rais wa nchi nae ni kada wa CCM...hahahaha

Naona hujui mamlaka ya DED na DC uliza ufiche upumbavu.
 
Hawa wakuu wa wilaya wote ni pumba tu; Zero kabisa, ametumia sheria ipi? Nawashangaa hawa watumishi wanaochapwa viboko, kuswekwa rumande na hawa majuha then wanakaa kimya. Ni uoga au? Mtaonewa mpaka lini?

Eti, mkuu wa wilaya anasema "mtu atakayeugua kipindupindu atamsweka rumande!" Kweli? Hivi wanafikiri kufagia barabara juzi na kuokota makopo ndio njia ya kuzuia cholera? Mimi huwa sipendi kuonewa hata kidogo.
 
Sasa mkurugenzi wa halmashauri na mkuu wa wilaya nani mkubwa? Ni sawasawa na kusema rais hana mamlaka, ila katibu mkuu kiongozi ndio anayo. Acheni upumbavu wa kuzungusha mikono...fanyeni utafiti...wakuu wa mikoa na wilaya ni watu wazito sana TAMISEMI. Hivyo ishu yoyote inayohusu watumishi wa umma katika wilaya au mkoa...ipo chini ya mamlaka ya wakuu wa wilaya na mikoa respectively. Wakuu wa wilaya ndio wawakilishi wa rais katika wilaya husika. Sio nafasi ndogo hii.

Kinacho wakera wengi ni kuona kuwa wakuu hao wa wilaya na mikoa ni makada wa CCM...mmesahau kuwa hata rais wa nchi nae ni kada wa CCM...hahahaha
ukiisoma vizuri sheria ya utumishi wa umma ya mwaka 2007 utaona ujinga wako umekaa wapi; usipofanya hivo hutautoa ujinga ulionao. Ndiyo maana nazidi kuamini kuwa hatuma sababu ya kimaendeleo kubaki na wakuu wa mikoa na wilaya.
 

Attachments

  • TZA82134.pdf
    183 KB · Views: 44
Sasa mkurugenzi wa halmashauri na mkuu wa wilaya nani mkubwa? Ni sawasawa na kusema rais hana mamlaka, ila katibu mkuu kiongozi ndio anayo. Acheni upumbavu wa kuzungusha mikono...fanyeni utafiti...wakuu wa mikoa na wilaya ni watu wazito sana TAMISEMI. Hivyo ishu yoyote inayohusu watumishi wa umma katika wilaya au mkoa...ipo chini ya mamlaka ya wakuu wa wilaya na mikoa respectively. Wakuu wa wilaya ndio wawakilishi wa rais katika wilaya husika. Sio nafasi ndogo hii.

Kinacho wakera wengi ni kuona kuwa wakuu hao wa wilaya na mikoa ni makada wa CCM...mmesahau kuwa hata rais wa nchi nae ni kada wa CCM...hahahaha

Sisi ambao shughuli zetu ni mahakamani tunakushangaa jinsi ulivyo kisiasa zaidi, sheria kwako ni jitu lisilofaa. Mkuu wa wilaya hana mamlaka ya kinidhamu kwa watumishi wa halmashauri, mwajiri wa watumishi ni baraza la madiwani na wala si mkurugenzi wala mkuu wa wilaya kwa mujibu wa sheria za serikali za mitaa. Hata rais hana mammlaka ya kufukuza mtumishi wa umma sana sana atamuagiza afisa mwajiri achukue hatua. Mwulize mkapa alipowafukuza wale makamishina wa polisi punde baada ya kushika madaraka, walienda court, kesi wakashinda na kulipwa pesa ndefu.
 
Back
Top Bottom