pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
hata Sheria za dini hazisemi hivyo
Sababu za watoto wa mtaani zipo nyingi: vifo vya wazazi, mifarakano katika ndoa, na hali duni za maisha ya baadhi ya wanandoa. Sasa iweje, huyu kiumbe asisitize kwamba ndoa ndiyo mwarobaini wa watoto wa mtaani? Kwa hili kapwaya sana, ingeli kuwa vema kama angeli kaa kimya.Pamoja hakuna sheria kama hyo ila naafiki wazo lake. Watu wanazaa kama kuku hlf wanatelekeza familia zao. He has a point watoto kukosa malezi ya both parents. Mwanaume mmoja anazaa na wanawake watatu na wote anawatelekeza hataki kuwahudumia. 10- 15 years to come hasara yake itaonekana.
Naona Mpaka hapa unaweza Kuelewa kuwa tuna Utawala wa hovyo awamu hii Kuwahi Kutokea. Mnabaki Kuimba Mapambio tu. Wakina Joketi sijui wameolewa na nani? Ukiwemo wewe Demu.
Unauliza Job Description? Ndio kama hizo. Kutoa tamko lolote wakati wowote popote anapojisikia. Na kuchapa wanafunzi. Na kusema jangili akikamatwa badala ya kupelekwa mahakamani apigwe risasi hapo hapo. Na kuweka viongozi wa upinzani ndani. Na jambo lingine lolote mkuu kama huyo anayeamua kufanya ili mradi anaitwa ni kiongozi wa kamati ya ulinzi na usalama wa eneo lake. Ndio Tz "Mpya" hii. Kama huwezi "kwenda na kasi yake" achia ngazi. Naamini umeelewa sasa.Msaada kwa anayejua JD ya wakuu wa wilaya naomba anijulishe tafadhali.
Ndiyo maana upo hivyo? Haya wewe halikuhusu Tamko la DC Ludewa kumbeYa kuelewa utajiju na akili yako utakavyo
Nimeolewa na mume wangu..😀