Katika mradi wa Kawe' wa NHC' 711 ambao unajengwa na kampuni ya ESTIM" huyu raia wa kigeni kutoka India jina lake ni Bipin Vekariya'
Huyu muhindi amekua akitoa aina ya maneno ya kashfa juu ya serikali "kimaadili sitayaandika" akidai kua serikali hatoi fungu la pesa za kutosha katika kuendeleza huo mradi'.
Huyu anastahili achukuliwe hatua za kinidham' na apimwe vigezo kama kweli hiyo kazi anayoifanya ya umeme' hakuna kweli mtanzania anaeweza kuifanya" mpaka atoe hizo kashfa".
Huyu muhindi amekua akitoa aina ya maneno ya kashfa juu ya serikali "kimaadili sitayaandika" akidai kua serikali hatoi fungu la pesa za kutosha katika kuendeleza huo mradi'.
Huyu anastahili achukuliwe hatua za kinidham' na apimwe vigezo kama kweli hiyo kazi anayoifanya ya umeme' hakuna kweli mtanzania anaeweza kuifanya" mpaka atoe hizo kashfa".