ketete
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 792
- 793
WanaJF nilikuwa nafatilia suala la Timu ya Lipuli jana na mkuu wa mkoa wa Iringa. Lakini ghafla nikamkumbuka mhe.kasesela mkuu wa wilaya ya Iringa mjini.
Mwanzoni alikuwa maarufu kwa kuvaa kombati za jeshi,kubeba waandishi na watu mgongoni mwake pamoja malumbano na mhe.Msigwa.
Nimejiuliza Kasesela mbona kimya kwa sasa?
Kulikoni?
Mwanzoni alikuwa maarufu kwa kuvaa kombati za jeshi,kubeba waandishi na watu mgongoni mwake pamoja malumbano na mhe.Msigwa.
Nimejiuliza Kasesela mbona kimya kwa sasa?
Kulikoni?