Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Ludigija kwanini uliendesha bomoabomoa Vingunguti akikiuka agizo la Rais?

Ni kundi gani linalomuunga mkono mama?mbona anahangaika na chanjo 1m.tu haziishi wakati wana CCM ni 8m? Si ni sawa tu na hao Sukuma gang mnaowasema?
Imeshasemwa mara nyingi chanzo ni hiyari kinachofanyika ni watu kupewa elimu juu ya faida na hasara iwapo utachanjwa au hutochanjwa lakini uamuzi utabaki kuwa wako mwenyewe, unataka afanye nini zaidi.
Kaeni mkijua huyu Mama hatotoka hadi 2030 labda itokee kudra ya mwenyezi Mungu kama hampendi kunyweni sumu mumfuate mliyempenda.
 
Kinyume chake ndio ukweli wenyewe. Jamaa zangu wa kanda ya ziwa wanaumia sana Mama kumrithi JPM.
Kwa kweli wanajitutumua kuonyesha kuwa mama yenu si lolote na hafai.
Samia toka awe Rais anachosema hakitekelezwi na legacy ya Mwendawazimu wakiongozwa na Mpango, Majaliwa, Kabudi na Mwigulu wanafanya tofauti kulinda mfume dume.
Kwa kifupi Nchi haina Rais mpaka pale Samia atapovunja baraza la mawaziri.
 
Imeshasemwa mara nyingi chanzo ni hiyari kinachofanyika ni watu kupewa elimu juu ya faida na hasara iwapo utachanjwa au hutochanjwa lakini uamuzi utabaki kuwa wako mwenyewe, unataka afanye nini zaidi.
Kaeni mkijua huyu Mama hatotoka hadi 2030 labda itokee kudra ya mwenyezi Mungu kama hampendi kunyweni sumu mumfuate mliyempenda.
Wewe utaishi mileleo
Imeshasemwa mara nyingi chanzo ni hiyari kinachofanyika ni watu kupewa elimu juu ya faida na hasara iwapo utachanjwa au hutochanjwa lakini uamuzi utabaki kuwa wako mwenyewe, unataka afanye nini zaidi.
Kaeni mkijua huyu Mama hatotoka hadi 2030 labda itokee kudra ya mwenyezi Mungu kama hampendi kunyweni sumu mumfuate mliyempenda.
Kama unamuunga mkono kadungwe tu hiyo JJ,acha povu.
Vyinginevyo hauko na mama.
 
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale Chato ndio kwao na nduguye Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je, huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
Mama akirudi ataanza na watu dizaini ya Hawa,hawajaweka utaratibu ila wanakimbilia kibomoa.
 
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale Chato ndio kwao na nduguye Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je, huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
Unamtukana JPM kwa sababu gani....?...nyinyi ndio wale CCM wezi ambao saa hii mmepata kiongozi ambaye anawachekea
 
IMANI UPENDO MIUJIZA

Habari imewafikia👌

Screenshot_20210925-142552.jpg
 
Ludigija ni mzaliwa wa Chato, pale Chato ndio kwao na nduguye Leah Ludigija ni maarufu kwa biashara ya magodoro.

Rais na Waziri Mkuu wametoa agizo machinga wasibomolewe bila utaratibu, Mkuu huyu wa wilaya ambaye ni mwenyekiti wa kamati ya usalama ameendesha bomoa bomoa hiyo.

Je, huyu ni masalia ya watu wa mwendazake wanaomdharau Rais Samia? Nashauri afutwe kazi haraka
Aliyeendesha bomoabomoa ni mkurugenzi acha kujitoa ufahamu na chuki zako dhidi ya watu wa Chato
 
Back
Top Bottom