Mwanafalsafamweusi
Member
- Jun 4, 2019
- 14
- 23
Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro Ndg:Lengai Ole Sabaya amemuagiza meneja wa mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) wilayani humo Rashid Murith kwa kushirikiana na Kamanda wa Polisi wilaya OCD Lwelwe Mpina kufanikisha upatikanaji wa Magari Zaidi ya mawili yaliyo inginzwa nchini bila kufata taratibu.
Lengai amesema kwa Zaidi ya miaka minne Kampuni hiyo ya (Hai Kilimanjaro development initiateve) chini ya Mbunge wa Jimbo la Hai Freeman Mbowe(Mkurungezi wa Kampuni) na Clement Kwayu kwa kipindi chote hicho hawajawahi kulipa Kodi ya serikali inayo kadiriwa ni Zaidi ya Milioni Mia tano.
Lengai amesema kwa Zaidi ya miaka minne Kampuni hiyo ya (Hai Kilimanjaro development initiateve) chini ya Mbunge wa Jimbo la Hai Freeman Mbowe(Mkurungezi wa Kampuni) na Clement Kwayu kwa kipindi chote hicho hawajawahi kulipa Kodi ya serikali inayo kadiriwa ni Zaidi ya Milioni Mia tano.