MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 3,683
- 5,003
Naangalia kipindi cha ajenda 2020 kila swali analoulizwa na mtozi alois hawezi kujibu azidi ya mabavu kiukweli mteuzi wa hawa binadam yupo au aliwateuwa akaondoka ? Hebu wenye kumjua amwange data tumjue mtu huyu