Hata wakati wa chama kimoja, bado kulikuwepo wapinzani hata kama siyo official. Kwasasa naona tunafanya kama wakoloni! Kwasababu haki zao zinavunjwa, haki za kimsingi ambazo zinalindwa na katiba waliyoapa kuifuata hao viongozi!
Kipindi cha mwalimu, ambaye ndiye rais aliyekoswakoswa kupinduliwa, bado kuna kura ziliharibika kwa baadhi ya wananchi kupigia kura kivuli.
Sasa hiyo ni miaka zaidi ya 40 iliyopita! Nadhani kwa hili tumeingia chaka!
Yani kufanya mikutano ya ndani imekuwa uhalifu?
ccm ni laanaMbona wao ccm wapo live na TBC wanampongeza rais, songea walikua live nk
Tena wanafanya mpaka maandamano?
Cdm kufanya mikutano ya ndani wanakamata kwanini?
Hata kama huipendi cdm lazima uwapende kwa uonevu wanaofanyiwa
Ccm waliniwe milele
Wapumbavu sana ccm
Ninyi mnaamuaje???Mkuu wa wilaya ya Hai ametoa maelekezo kwa Polisi kuzuia mkutano wa ndani wa Chadema jimbo la Hai na muda huu polisi wamevamia ukumbini kunapofanyika mkutano huo.
View attachment 980355View attachment 980356
Mzee Meko anazidi KujiaibishaKuna mambo yanatia hasira sana Nchi hii..